Tatizo ushakosa amani ya moyo ht kwa kujiliamizisha ni ngumu Sana coz huwez kuwa na upendo nae tena watu hawajui Mke anaumaa jamani. Mi kumsamehe ni ngumu sana
Nakubaliana wewe Mkuu je, ukosefu wa ushindani wa namba unachangia viwango kuwa chinii mfano Rashford ameridhika anacheza kifazaa khs Maguire sio mbaya shida bei yake haiendani kabisa ilichangiwa na Uingerez wake
Timu ambayo haitaki kusajili wachezaji wa maana wameweka Uingereza mbele kwa kuwanunua bei ghali bila sababu yaani Utd ndo ya kulipa mileha kibao kwa Mount halafu unasubiria wachezaji wa mikopo timu iendee sasa ni bora liende bila mgomo wa mashabiki haitoboi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.