Habari wadau, nimepata vijisenti kiduchu na kuona kama naweza angalou nunua kausafiri hivi. Nataka kuñunua NISSAN X TRAIL ya mwaka 2007 ambayo ni dolali 4115 ila wanasema tax and duty haipo. Je, hiyo tax and duty ni shs ngapi? Wataisafirisha mpaka Arusha. Msaada please.
Wadau kwema, ni miaka 32 tangu nilione jua, ila ni miaka 17 tangu nimeanza ku kwichi kwichi. Ila katika miaka yangu yote hiyo cha kugegeda sijawahi kutana na mtoto akiwa bikra aisee, kiukweli rafiki zangu wakiniambia juu ya utamu wa bikira naumia, siijui radha yake na natamani niionje.
Jamani...
habari wana jamvi, kutokana na kutokuwa na Forum ya Mkoa wa Singida, binafdi nimeona tukutane hapa ili kujuzana maswala mbalimbali yanayohusu mkoa wa Singida na tuweze kujadiliana na kuusaidia Mkoa wa Singida.
Ukiwa Mbunge, DC, RC, RAS, DAS, MKURUGENZI na yeyote wa Singida basi huu ndiyo uzi...
*VIONGOZI WETU, MNATUTIA AIBU*
Nioneshe masikitiko yangu sana kwa Viongozi wetu na Serikali kiujumla kwa jinsi mnavoshughulikia changamoto na kero za wananchi.
Serikali ipo kuwatumikia Wananchi, ibara ya 8.-(1)(a) inasema kuwa "Wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali itapata madaraka...
Wadau niaje, ebhana nashindwa kitu kimoja, kila nikijaribu kupata huduma ya Go Live kwa TCL inagoma. Inaishia kuniambia kuwa Network unavailable, wakati huo huo nikiwa kwa Youtube au social apps inakubali, msaada tafadhali,
Wadau niaje, ebhana nashindwa kitu kimoja, kila nikijaribu kupata huduma ya Go Live kwa TCL inagoma. Inaishia kuniambia kuwa Network unavailable, wakati huo huo nikiwa kwa Youtube au social apps inakubali, msaada tafadhali
Kuna Video inasambaa ya RC Makonda akiwa Kanisani na anaonekana analia,
Nadhani kulia kwake sio suruhisho la tatizo,
Mimi kama Mkatoliki wakati wa Mafundisho nilifundishwa kuwa, ukikosa omba msamaha nawe utasamehewa.
Haikuishia hapo, nikaambiwa kuwa, ukichukua kitu cha mtu aidha kwa makusudi...
MAJINA YA WALIOPITISHWA KUGOMBEA NAFASI YA RAIS WA CHAMA CHA WANASHERIA WA TANGANYIKA. TLS. Kazi kweli kweli hapa.
1. VICTORIA MANDARI
2. FRANCIS STOLLA
3. LAU KEGO MASHA
4. GODWIN MWAPONGO
5. TUNDU LISSU
Natafuta mke, awe mwenye hofu ya Mungu, mimi ni Mkristo kwa hiyo akiwa Mkristo sio mbaya sana na awe mwenye maono ya Kimungu zaidi.
Elimu yangu ni Shahada (Degree), ni mwalimu, nina miaka 31 kuelekew 32.
Awe na angalau certificate kama kiwango chake cha Elimu, Awe na Umri wa miaka 23-29, aliye...
Na TUNDU LISSU
Nimesikiliza sehemu ya hotuba ya Rais Magufuli wakati wa sherehe za Siku ya Sheria leo. Nimemsikiliza aliposema wanaokamatwa na nyara za Serikali au madawa ya kulevya wanastahili kuchukuliwa hatua bila kufuata taratibu za kawaida za kisheria hasa pale wanapokamatwa 'red-handed.'...
Kuna T-shirts zipo Hapa Tanzania zimeanza kuingia sokoni za Kupinga Kristo.
Kanye Wst Msanii wa Marekani ameamua kuanzisha dini yake na kujiita YESU wa dini yake.
Alichokifanya ni kubadili neno YESU na kujiita YEEZUS akiwa na maana ya Yesu wa kweli.
T-shirts hizo naona watu wameshaanza...
Habari ya wakati huu, napenda muwahabarisha kuwa Mh. Tundu Lissu (MB) wa Simgida Mashariki hana account ya facebook wala Twitter.
Taarifa hii inakuja baada ya kuona kuna mtu anajiita Tundu Lissu, baada ya hapo niliamua kumtafuta Mh. Tundu Lissu ili anithibitishie hilo.
Baada ya kumpata...
Kumekuwa na tabia ya akina mama watu wazima kutoka kwenye ndoa zao, kitu ambacho kizadhalilisha hadhi ya wame zao.
Unakuta mama wa miaka 40 anataka atoke na kijana wa miaka 29, sababu, eti hajawahi kuridhishwa na mume wake.
Acheni hizo, ziheshimuni ndoa zenu bana.
Hello Secretary General UN,
I am a Tanzanian writing this letter to you asking to intervene Human Right Violation.
Recently, there is a missing Activist namely Ben Rabiu Saa Nane who is missing for such a two weeks now without any information from the government.
We have raised up our voices...
Habari zenu wadau,
Samahani,
Pete nzuri ya kumvisha mtoto wa kike (Engagement Ring), ni ya aina gani? (Silver au Gold?
Na inatakiwa iwe na gram ngapi?
NB: Take it serious.
Habari,
Naitwa Brian, mwanaume, ni mwalimu wa Sekondari nipo Dar, miaka 31, natafuta mchumba (Mwanamke) na awe Mkristo (RC) au dhehebu lolote, awe Mcha Mungu na asiwe mtu wa mambo mengi (mambo ya Kidunia),
Awe na umri kuanzia miaka 23-28.
Karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.