Mkuu huwezi kupata ufuta kipindi hiki cha Mwaka, ndio upo shambani watu wanafanya palizi saa hizi subiri mwezi wa sita mpaka wa saba ndio mavuno yanaanza.
By the way unanunua sh ngapi kilo?
Huu ndio muda wa kununua gunia kwa bei rahisi Kama hiyo unayosema sababu wengi ya wakulima wana njaa saa hizi baada ya kutumia hela nyingi kwenye palizi, kuhamisha na kupiga dawa ya panzi (msimu huu maeneo ya morogoro vijijini panzi wamekula sana mpunga).
Haya maelezo ni kwa uzoefu wangu...
Watanzania bwana ni watu wa ajabu sana, tatizo ni nini Kama Chahali na Balali wa twitter wakiwa ni mtu mmoja? Inatuongezea nini Au kutupunguzia nini Kama nchi?
Wengine mnasema mzushi sijui hafai, Kwani unahitaji akili kubwa kujua kuwa kuna ishu ndani ya TISS kwa hili la Deputy DG kuwa demoted...
Nijibu maswali haya kwanza
1. Unataka kulima nini?
2. Una mtu wa kuaminika ambaye atakuwa shamba full time Au nyie ndio mtakuwa mnakaa shamba?
3. Soko la zao lako umesha lijua? Unajua misimu ya hilo zao sokoni?
4. Mzee amekupa sababu zipi za kutokuunga mkono hili wazo lako?
Uhuni wa EFTA upo kwenye riba, yani unatoa 10%-20% ya mkopo halafu wao wanatoa 80%-90% lakini riba inakuwa calculate kwa kutumia 100% ya mkopo badala ya kutumia Hiyo 80%-90% waliyotoa wao.
Umesha wahi kulima Au ndio Mara ya kwanza? Benki hazitoi mkopo kwa mtu anayeanza, wanatoa kwa mzoefu na inabidi upeleke bank statement yako kuonyesha mapato yako. Hawatoi mkopo kwa ambaye sio mzoefu
Nenda kapate uzoefu na kujenga connection na halmashauri zote za mkoa unaoenda halafu baada ya miaka mitano fungua kampuni yako uchukue tenda.
Achana na habari za kuajiriwa, mshahara huwa hautoshi. Pambana usajiliwe na board ya engeneers upate na certificate kwa maandalizi ya kufungua kampuni...
Wakuu hizo hatua zaidi Bado tu mnazifanya tangu Tarehe 14 Jan? Namba yangu ya report ni 3857 hamjanipa feedback Au ndio yaleyale kuwa nguzo bado hamjanunua?
Naona wakwe wanaona mtoto wao mzuri sana, wanaume wenyewe wa kuoa wameisha halafu wao wanaleta pozi. Ila pia inawezekana huyo mkeo mtarajiwa ndio wana mtegemea kifedha kwahiyo wanaona hawato faida mshahara wake akiolewa mapema. Hiyo kazi wanayosema kuwa afanye kwa Mwaka mmoja ni ipi wakati...
Wakati unafikiria cha kulima pia fikiria utakiuza wapi usije kulia bure.
Kingine hao wenyeji usiwaone wajinga kulima mahindi na maharage, ukiingia shambani utaelewa sababu pale ambapo utakapo vuna halafu bei sio nzuri na zao ulilolima halihifadhiki mfano tikiti na hayo mapapai unayotaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.