Habarini wakuuu.
Mimi kwetu tulizaliwa wengi (8), Ila Kati ya hao nane nina uhakika 100% 3 sio wa ndani ya NDOA. I mean mama alichepuka.
Nilipokuja kugundua mama anachepuka Nilikuwa Kama darasa la tatu hivi, mama alikuwa anapenda sana kunituma kwa huyo mchepuko wake nikachukue vitu...
Habari wanajamvi.
Nina CM yangu Tecno k9 spark. Tokea Jana nikifungua kamera haipigi picha. Na tochi haitaki. Kwa mwenye kujua tatizo linakuwa lipi naomba msaada.
Au je ninaweza kwenda makao makuuu ya Tecno na wakanisaidia kutatua tatizo langu.
Na makao makuuu yao yako wapi kwa DAR.
ASANTENI...
Habari zenu.
Kama ulipitia Kipindi cha ujauzito 0-9 miezi.
Unaweza kutusaidia tunaotaka kupata watoto,
Changamoto za mimba, ulaji, vitu muhimu vya kufanya Kipindi cha ujauzito,
Unatakiwa Ule Nini ambacho ni Kizuri kwa afya Kipindi cha mimba,.
Unatakiwa utayarishe vitu vya kujifungulia...
Habari wapendwa. Naomba msaada wa anaejua Jinsi ya Kujiunga na jumia.
Nina bidhaa zangu nataka Niwe nauza huko.
Shida ni jee najiungaje. Mwenye kujua Tafadhali anieleweshe mnaamini humu Kuna wanaojua. Asante sana.
Mbarikiwe
Habari
Nina rangi ya maji ya kunde, kwa mwenyewe kujua mafuta mazuri yasiyochubua, Ila yanalainisha ngozi na kuiweka nyororo.
naomba kuyajua.
ngozi yangu ni ya mafuta.
Asanteni..
Wasalaam,
Kuna kitu nimejifunza mno ya kwamba
mwanaume mwenye hela, alafu ana elimu hata ya darasa la saba au form 4, anajali sana kuliko hawa wanaoitwa wasomi alafu ni matajiri, hawawezi kuona thamani ya mwanamke.
Sasa sijui ni elimu huwa inawapa kiburi, sina uhakika.Yaani mwanaume asie na...
Habari waungwana. Nilikuwa na shida na material zinazotumika kutengeneza maua ya urembo, yanapatikana wapi kwa hapa Dar ess alaam. Kwa mwenye kujua tafadhali
Kuna haya mapenzi mubashara ya mume na mke. Au hata wapenzi, sanasana wale wanaokaa nyumba moja hupendelea kuchaguliana nguo ya kuvaa kwa ajili ya kazini, kusafiri, mitoko ya jioni.
Kuna wengine wanafurahia kuchaguliwa nguo na wengine hawapendi, na hao wanakuwa na sababu zao maalum Kwa...
Habari,
Kiukweli kuna wanawake wakiolewa wanakuwa kama wabibi kipindi kifupi tu ukilinganisha na zamani alivyouwa (single) utakuta vaa yake ya hovyo kajiachia achia tu kitambi hilo, mazoezi hafanyi, iliradi tu yeye kaolewa.
My dear mwanake ulioko kwenye ndoa jaribu kubadilika basi hata mume...
Nina shida Sana na kabati la chuma kama hilo. Mwenye kuwa nalo ambae anatengeneza please naomba nijuze nalipata wapi au hata kama unajua linapatikana wapi nijuze.
Mtu unadownloda kitu cha mb 8.point ndani ya saaa moja. Kama sio kumaliziana charge tu huku.
Zamani mlikuwa poa Sana na niliwasifia mnoo. Zaidi niliwashawishi watu zaidi ya kumi kujiunga na mtandao wenu. Nilipouna upo katika mwelekeo.
Lakini sasa naona mnashindwa. Sasa sijui ndo wateja...
Mimi huwa napenda Sana kucheki afya yangu na hasa vipimo vikubwa Kama H.I.V ninaweza kucheki mara 3 kwa mwaka au chini ya hapo ila mwenzagu yeye ni mbishi wa kupima H IV balaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sidhani hata kama alishawahi kupima.
Ukitaka kukosana nae mwambie twende...
Kataa kubali mwanamke yoyote Yule akiwa GOLIKIPA Lazima mwanaume atakudharau tu. Sio wote. Lakini 89% wapo hivyo. Ukiamka wewe asubuhi ni, kufua, kupika chai,chakula cha mchana, na jioni, Unaoga unamsubiri mumeo arudi kutoka kazini.
Na anakurudia nyumbani saa 7 usiku, au kumi na moja za usiku...
wanaume embu mbadilike jamani.
Ivi mchepuko wako mpaka anapata mimba na wewe unamsaport ya kwamba zaa tu mtoto ntamlea.
Na baada ya mtoto kuzaliwa, unaanza kumzungusha kuhusu matunzo ya mtoto. huwa mnafikiriaga nini.
Yaani hapo ni kumuumiza tu mtoto, na si kingine.
imagine mpaka mama ake...
Wanaume embu mbadilike jamani,
Hivi mchepuko wako mpaka anapata mimba na wewe unamsaport ya kwamba zaa tu mtoto nitamlea. Na baada ya mtoto kuzaliwa, unaanza kumzungusha kuhusu matunzo ya mtoto huwa mnafikiriaga nini.
Yaani hapo ni kumuumiza tu mtoto na si kingine, imagine mpaka mama yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.