Ni takribani miaka 6 sasa tangu nianze kudadisi na kutafiti juu ya wimbi la kujichua maarufu kama Punyeto kwa Wanawake na Wanaume.
Mwishoni mwa mwezi October mwaka jana nimehitimisha utafiti huo kwa ushahidi kwamba 92% ya Wanawake waliowahi kuwa kwenye mahusiano na waliopo kwenye mahusiano huwa...
Ujio wa Mwana wa Adamu utaambatana na ishara na maajabu mengi.
Wakati Yesu akaribia kupaa mbinguni aliwaagiza wale wanafunzi wao kuhubiri injili kutekote na kuwahubiria watu watu maana ufalme wa Mungu umekaribia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu unashauri nioe ambaye umri wake ni chini ya 23? Maana mimi sasa niko na 26 na sitaki mwanamke unaoa mtoto akilia na yeye analia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nacheleq kusema kama natongozwa au nawatongoza, ila najikuta nao kwenye mahusiano. Yakishaqnza kukolea ndo nashtuka mweeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajamvi habari zenu.
Twiga Stars wananiganda, najibandua naangukia kwao tena. Nataka veteran mwenzangu (24+)
Naombeni ushauri,
Mimi ni kijana wa umri uliokomaa kuoa sasa hivyo nataka kuanzisha michakato ya kuoa ingawa kikwazo kikubwa sipati wale mabinti ninaowataka isipokuwa wanajilengesha...
Wanajamvi hamjambo?
Natumai mu wazima wa afya, leo nataka nijifunze kitu hapa. Miaka kadhaa ya nyuma tuliwahi kutoa semina hapa jamvini namna yakuindokana na tatizo lakupiga punyeto kwa wanaume.
Leo natamani kupata ushuhuda kutoka kwenu kama yupo aliyewahi kufanikiwa kuacha.
Sent using...
Wanajamvi miaka kadhaa hapa niliwahi kutoa elimu kuhusu Madhara na namna yakuacha kupiga puchu kwa wanaume (punyeto).
Aliyefanikiwa kuacha ajitokeze hapa atoe ushuhuda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajamii nisaidieni hii tabia ya baadhi ya mademu kuomba taa izimwe kabla ya Show wanahofia nini? W
engine ukitext unakuta inakaba vizuri nyingine zinalegea na kuburuza hadi kwenye magoti zisipozuiliwa na kufuli.
Msaada uzoefu wenu unasemaje??
Hilo lilikuwa agano kati yake na huyo mpenzi wake wa zamani.
Nadhani huyo dada ashauriwe kumtafuta huyo mpenzi wake wa zamani
Tattoo haifutiki daaah, alafu ipo karibu na Nkana FC!!!!
Kitanda hakizai haramu, endelea kumpenda na kumsitiri, leeni huyo mtoto bila kujali watu watasemaje.
Ukimwacha atabeba maumivu yakuachwa na kubakwa, so ataumia zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.