Kiwanja kipo kange stendi mpya, kinaukubwa wa m20x30 kipo karbu na stendi kuu ya mabasi tanga, bei ya kiwanja ni mil 5.8 mazungumzo yapo, kiwanja kinaoffer..
Kwa mawasiliano pga no. 0713 575797
Inavyumba vi3, jiko na frame mbili za biashara..ipo tanga mjini mtaa wa kwanjeka nyumba ya tanga xul..ina hali nzur na inafaa kwa kuish mwenyew au kupangsha..maji na umeme vp full time..
Bei ni m18...
kwa mawasiliano pga 0713 575797
Muuzaji ni mmiliki halal
Ipo Tanga mjini mtaa wa kwanjeka nyuma ya shule ya Tanga xul, inavyumba vi3, choo, jiko na milango miwili ya biashara..
Muuzaj ni mmiliki
Bei ni mil 17.5
Kwa mawasiliano pga 0713 575797..
habar zenu wanajf...tunauza nyumba yetu ipo tanga mjini mtaa wa kwanjeka..inavyumba vitatu chumba kimoja kina sebule.
Ina Jiko la nje na inamilango miwili ya biashara..maji na umeme vipo full time.
Pesa ya haraka inahitajika bei ni 17.5m maongez yapo kidogo...
Kwa mwenye uwezo, uhitaji na nia...
Habar zenu wanajf, Mimi nipo Tanga naomba kufahamishwa ni wapi naweza kupata pikpik aina ya Honda MD90 kwa dar es salaam na zinarange kwenye bei gani...natanguliza shukran.
Katika miaka ya 2000 au 2001 kama sijakosea kampuni ya azam walikuwa wanatengeneza maji katika sachet yaani katika vifuko vya plastic, lakin baada ya muda wakaacha naomba kujua ni kwasababu gani waliacha utengenezaji wa hayo maji...najua jf wapo watu wanaufahamu nalo hili jambo na pengne walikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.