Sitomsahau moyes katika maisha
yangu yote...kwa kunifanya nisiangalie timu
ninayoipenda zaidi duniani lakini hatimae
hatunae tena na mungu akubariki popote
uendapo moyes ...ahsante kwa kuifanya timu
iliokua inaheshimika zaidi na kuogopeka
duniani kuonekana kua ni timu ya kawaida
ahsante sana.
Habari za uzima wana jf....wakuu nina compyuter yangu hua ninaitumia kila siku bila kunisumbu ila leo kila nikiiwasha inatoa mlio kama wa alarm hivii nikajaribu kufungua ili nijue mlio huo unatokea wapi nikakuta ni AUX POWER ndio inayopiga kelele huku ikitoa rangi ya green .nikiconect...
Mimi ni graduate wa bacholar of banking and financial services so kwa yeyote atakaependa kufanya kazi na mimi iwe ni kampuni binafsi ,biashara yeyote nipo tayari.location ni popote pale .Nitashukuru sana wana great thinker kama kuna atakae nisaidia kwa hili kwani hatojutia kufanya kazi na...
Habari wakuu.
Mimi nina tatizo la kukosa usingizi muda WA usiku kwa muda mrefu sasa mwanzoni nilikua nadhani labda ni kwa sababu ya kuzoea kusoma usiku lakini baada ya muda WA kama miezi mitano ivi baada ya kumaliza chuo nimekua nateseka sana usiku kwa kukosa usingizi kabisa nashindwa kuelewa...
Wakuu kama kuna yeyote alietumiwa ujumbe kuitwa kwenye interview ya oral kwa post ya sales executive tupeane possible questions and possibly answers au kwa yeyote mwenye maujuzi anaweza kunijuza pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.