Naam Comrade! Kaisari alibana sana!
Ndio tumerudi na kuanza kupekua hazina zilizofichika... maana hii mijadala ilikuwa mitamu sana. Nowadays kuna uhaba wa threads kama hizi! Haya mambo huwezi kupata darasani!
Siku hizi threads zimejaa name callings tu, mara huyu kamuita mwenzake 'gamba' sababu...
I have feelings that former Pres. Mkapa was kinda drunk.. (kwa wale mnaomfahamu kwa karibu mtaelewa)! Kama angekuwa sober asingeweza kuongea kipuuzi kwenye mkutano wa kampeni kama alivyofanya.. He is too experienced to behave like that!
Kama Opposition imetoa hoja nzuri na CCM ikaona ni jambo jema sana.. na wao kama Majority wakaona waanze kulitekeleza kwa nini tusiwape credit hata kwa hili dogo? Wangeamua kuwa kichwa ngumu i bet wangeshambuliwa zaidi.!! Tukubali tu kuwa hizi posho ni kutumia vibaya hea za walipa kodi.
Vyama...
Mpiga kura wa kawaida anayeshindwa kupata milo mitatu kwa siku ni vigumu kuelewa hii conversation! Strategically ni vema waki-stick na messages walizokuwa nazo kipindi cha kampeni. Kumwambia mwenye njaa kuwa anaweza kumtoa madarakani rais hata kabla ya muda wake... u can tell mwenye njaa atakuwa...
Cheap politics!
Lengo kuu la kuunda chama cha siasa ni kushinda uchaguzi na kuongoza nchi! uchaguzi umekwisha.. wapeni CCM miaka mitani yao watawale.. mbona mnawapa excuses za kampeni ya 2015??
By nature watanzania hawapendi fujo.. hii tone itakuja kuwa backlash mbele ya safari. they better...
Well said mkuu. Na wala hakuna crime iliyokuwa commited except upendo na uzalendo wa kuona nchi inapata kile inachostahili!
Inabidi CCM na Chadema waache siasa za mipasho na ku-stick kwenye sera na maendeleo. Wananchi ndio wana-lose hapa.. sio hawa wanaopata ruzuku zinazotokana na jasho la...
Piracy in The Gulf of Eden is more than u think. Umeshawahi kufikiria ransom money zinakwenda wapi na zinawekwa kwenye bank gani? Vile vi-pirates ni foot soldiers tu. Wanajuaje movements za meli na wanachaguaje meli za ku-attack bila kuwa na advanced information?
Opium ni mazao tu kama Cannabis na coca leaves! The main market ni US na Europe .. na major suppliers sio watalebani. Hao ni wakulima tu.. au unafikiri soldiers wako kule kulinda raia?
This is just a Psychological Warfare to discredit Osama Bin Laden and discourage his followers. They are trying to paint Bin Laden as a hypocrite, a muslim leader who didn't walk the walk. They said they found some Coca cola and pepsi too, while everybody knows that Osama hated the west to the...
"I have chosen a path fraught with dangers and endured hardships, disappointment and betrayal. If it wasn't for betrayal, things would be different today.
"As for you, my sons, forgive me if I failed to devote more of my time to you since I answered the call to Jihad."
He ends his will by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.