Haya ndio mambo ya maana sana na yenye tija kwa taifa letu, kwakweli kama taifa lenye uchanga ktk mifumo mingi ya kiuchumi, kijamii,kisiasa na hata kijeshi, taifa linahitaji zaidi kudumisha haki za kijamii na kiuchumi na wala si za kisiasa, wananchi Wana njaa, hivyo wanahitaji zaidi KULA na si KURA.
Wakuu habarini! Laptop yangu ni Dell,,mwanzoni tatizo lilikuwa tu haitoi sauti, kwa Sasa hata chaji haiingizi,,yani unaiweka kwenye plug kitaa cha moto kinatetemeka tu na ni ktk wekundu wake tu,,ukiichomoa inazimika hapohapo.
Maaana hata wa mawazo wakuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusaidie tu swali letu hili, kipi kikubwa/kinamvaa/kinamuongoza/kinamuumba mwenzie kati ya STATE and GOVERNMENT? Nadhani hatu tu utamwelewa uliyemjibu juu.
Lingine, je government interests zikigongana na State interests, zipi zita prevail? Hapo ndiko tukuambiako kuwa, Rais, wa Uingereza alianza...
Waungwana! Hivi huu ulimbukeni (Kama kweli kwa kuishi hivyo ni ulimbukeni) unaofanywa na waingereza, kutawaliwa na mtu mmoja toka miaka ya 50 huko hadi leo, akifa hatatawala mwinginewe toka nje ya uko wake, na hili ni toka vizazi hadi vizazi, wanaharakati wa demokrasia hamlioni???!!!
Uingereza...
Sio ina asili ya vinasaba tu, ni sehemu ya dola la MLIMA ambalo makao yake makuu yalikuwa ni Kilwa, sasa kuhamia Dar then Dom ingebadilisha kitu gani hapo? Wazanzibar kama wasouth Africa ni jamii za kuwaonea tu huruma, minds zao ziko affected sana na utumwa na ukoloni, sasa so bora hata anko...
Kama kuna watu duniani tumeumbwa tofauti sana na wengine basi ni watu weusi, na wenye vinasaba vya uweusi. Hata hatujui kwanini tumeumbwa hivyo yatupasa tufanye nini. Ktk zama na nyakati hizi bado kuna watu wanazungumzia utaifa, ukoloni, udini, ukanda nknk wanaacha ya msingi ya kukamata fursa...
Kwahiyo unaweza ficha ili wengi watendewe hivyo? Huo si uanaharakati, je ungekuwa ni wewe umetekwa ungeyakubali hayo? Nadhani kwa mtu dhaifu kama huyo, hata kumteka hakuna mana, angechimbwa tu mkwara wa kihivyo mwenyewe angefyata mkia. Why utumie manguvu na athari za kuonekana ni mtekaji sasa?
Kwakweli hata kwa kuingiliwa kinyume cha maumbile, kutishiwa kuuawa, lakini kwa wanaharakati, lazima wangejitoa mhanga wa kuwataja na kusema kilichowakuta ili dunia iwajue na haya matukio haya yakome kabisa. Unaficha ili iweje sasa? Ndio maana kuna walakini ktk haya mambo haya.
Chato ni makao makuu ya wilaya au mkoa au ndio kijiji kabisa kama usemavyo?
Hapo juu kuna mdau amesema watz hatutembei, ila kimiradi nchi yote wilaya zote zina miradi mikubwa. Njooni Simiyu muone miradi mikubwa yakustaajabisha ktk wilaya zake.
Ndio, unaweza vizuri sana. Kwakuwa hadi hapo wewe ni mchungaji mnafiki tayari. Jasusi mdogo, cheo tu ndio unachokihofia. Kila la kheri jasusi mchungaji, utimize ujasusi wako kiuweledi, halafu hata sio dhambi kwanza, itumikie jamii yako kupitia vipawa vyako vyote.
Hata falsafa/na itikadi za madogo zetu tunaziandaa sisi na kuwajengea wao. Ktk vyote vionekanavyo ktk sura za wadogo zetu, ni matokeo ya ma firstborn zao. Wengi tumewatambulisha vingi.
Hapana si kweli kabisa! Mtoto wa kwanza ndiye mtoto aliyekuwa kufanya mengi ya kitoto tangu yuko utotoni kabisa, hata kulia,uchoyo na mengine mengi, eti kisa tu amepata mdogo wake. Hatujawahi kudekezwa na hata kama tulidekezwa awali na kwa kipindi kifupi saaana.
Ngole ni was kijani pia, lakini sio mkali na hukaa jirani na makazi ya watu. Kuna hata misemo ya kijadi Pwani, wakisema "ngole" humaanisha mtu rafiki au asiye na madhara.
Mbona wewe umeingilia mifumo na mapenzi ya wengine ambao kwa matakwa na mapenzi yao wamejikubali kuwa wao no watanzania tu? Kwaanini msijipigie kura za maoni huko kwenu ili mjue wangapi wana fikra kama zako na wapi ni wengi na walio kinyume chako?
Kama hata LA kujipigia kura tu mnashindwa...
Napata shida sana kuwaelewa Wazanzibar hakika, hawaeleweki hata wanachokitaka. Kweli wamestahili kutawaliwa tena karne nyingi zijazo. Mada unaileta wewe na mimatusi juu,halafu ndio kuna kitu uchamungu na ustarabu na mnataka mvilinde, duh! Shida sana.
Sio huyu, huyu kwa mikoa ya Pwani huitwa "mgude" ni nyoka hatari na wala hakai kwenye makazi ya watu bali kwenye misitu mikubwa tu tena mara nyingi ni juu ya miti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.