Msimshangae Rais wenu maana alishindwa kabla ya kushindwa. Alianza utawala nchi hii kwa kufanya dhambi moja ya ubaguzi wa kila aina. Kisiasa alilunda timu ya wanamtandao akawapa vyeo akigawa kama uyoga. Kila aliyejua akumuunga mkono aliakikisha anaula wa chuya. Tanzania kwa mara ya kwanza...
Kwa mtu asiyejua dhana dhana ya uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility) anaweza akampongeza JK kwa kumfokea Waziri wake hadharani. Lakini kwa mtu makini JK kafanya kosa la karne na nafikiri utawala wake anazidi kuutia doa. Haiyumkiniki mradi mkubwa kama huu wa kutengeneza barabara za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.