Kila siku maisha magumu maisha magumu igeni mfano huu jamaa mmoja baada ya kaona maisha magumu kaamua kuachana na maisha na kufanya mambo mengine ya kijamii tofauti na maisha
Jamaa mmoja alinipigia cm akitaka nimkope sh 20000 nikamwambia labda nimpe sh18000 akaniambia poa nikamwambia apa nilipo ipo 15000 akasema poa nipe iyo 15000 sipunguzi tena apo sasa cjaelewa apunguzi nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.