Hakuna kitu kama hicho mkuu.YESU atarudi dunia kuja kufa kwanza/kuonja mauti,halafu ndo mambo mengine yanafuata.
Mambo matano ambayo Mwenyezi Mungu pekee anayajua.
1.Kiyama
2.Kilichomo tumboni mwa mama mjazito(hapa ni zaidi ya Utrasound)
3.Mwenyezi ndo anayeleta Mvua(hapa ni zaidi ya...
Hahahahaaa weye hutakiwi kuchinja kwa sababu huna dini,ukiachiwa kuchinja utawalisha watu mizoga.Katika Bibilia yote anzia mwanzo mpaka ufunuo wa yohana,hakuna sehemu iliyoandikwa Ukristo ni dini.
Kifupi,Zuberi msabaha ni mwenyeji wa kigoma.Chanzo cha kwenda kuishi congo ni vita vya kagera mwaka 1979.Baada ya majigambo ya Nduli Dada kuwa ataifyeka Tanzania ndani ya masaa machache,familia yake waliamua kukimbilia congo kama wakimbizi happo Zuberi akiwa na umri wa miaka minne tu.
Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.