Habari zenu wana JF!
Nilikuwa na mwaliko wa dinner juzi kati, Sweden. Nikaoneshwa mti ambao wenyeji wangu wanasema ndio ulikuwa watumika kuwaadabisha watoto ktk generations za zamani. Ila kwa sasa ni marufuku kumpiga mtoto/mwanafunzi kwa namna yoyote ile, ukikiuka unapelekwa Segerea...
Habari zenu ndugu,
Naombeni msaada wa maelezo kuhusu bati za Kiboko migongo mipana ambazo bei yake ni 25,000 kwa bati la mita 3. Nafahamu kuwa habari ya mujini ni ALAF lakini hebu nipeni udadavuzi juu uimara wa bati hizo za kiboko na kudumu kwa rangi. Natanguliza shukurani.
Habari zenu wakuu mlio ktk uhalisia wa maisha ya Bongo...
Ninatarajia kuiuza simu tajwa hapo juu ila naomba mnijuze niiuze kwa bei gani kutokana na hali halisi halisia ya uchumi wa Bongo.
Chaja ina kasoro kidogo sehemu ya juu ambayo haiathiri ufanisi wake ktk kuchaji.
UTANGULIZI
Mafuta ya taa ni distillate ya mafuta ya petroli ghafi. Matumizi ya mafuta ya taa ghafi katika vyakula vya shule za bweni imekuwa jambo la kawaida katika Afrika Mashariki na nchi nyingine kwa miaka mingi, na imani iliyojengeka ni kuwa yanasaidia kupunguza hamu ya kufanya ngono...
Habari zenu bandugu!
Hebu wale waliowahi kufundishwa na wazungu mpite hapa kutoa ushuhuda wenu wa siku zenu za awali mlivyokuwa mkipokea pindi la mzungu...
Binafsi naanza kutoa ushuhuda wangu pale tulipokuwa A-level ktk moja ya shule za serikali tukipigishwa Inorganic Chemistry na mwalimu wa...
Habari zenu wadau....
Napenda kushea nanyi kilichonikumba majuu.
Ni kawaida yangu kula menyu yoyote ile iwapo mbele yangu hasa nyama almuradi isiwe ya wanyama tunaokatazwa waislamu, haijalishi imechinjwa na muislamu au mkristo, mwanamke au mwanamme. Bongo wanyama waliwao na jamii kubwa ya TZ...
Habari zenu wazalendo...
Ninaulizia kama mtu wa kawaida ninaweza kwenda kubadilisha pesa za kigeni BOT maana kuna pesa zingine kwenye Forex Bureau za mitaani rate zake zipo chini ila ktk website ya BOT rate iko juu. Naomba wajuvi wanijuze.
Habari zenu wakuu...
Nilipokuwa shule ya msingi niliaminishwa kuwa sayansi ni somo maalumu na ndugu yake sayansi kimu. Masomo kama jiografia na historia hayakuhisabiwa kuwa ni sayansi.
Hali iliendelea hivyo hadi sekondari. Tulipokuwa kidato cha tatu tukatenganishwa kuwa kuna madarasa ya...
Habari zenu wana jf,
Mi ni mgeni wenu ingawa nimekuwa nikiitumia JF kama chanzo cha habari kwa zaidi ya miaka 4.
Sasa nimeona nijiunge rasmi....Naombeni ushirikiano wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.