Sasa shehe hapo si wameweka Waanzilishi na marais wa sasa hivi ? au
Ulitaka wajae na wakina Nkapa hapo, hiyo nafasi ingetosha na Nkapa alivyo mnene vile
Ngoja nikukalipie
HAKUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA MAADILI NA BIBLIA..
Maadili yanaanzia msingi wa familia..
Sahizi familia nyingi ndizo hizo za single mother ...
Wengi wametaja wazazi, wajomba ,dada nk
Ila sijaona aliyemtaja Mwalimu tena wa chekechea ..
Walimu wa "vidudu" washukuliwe popote walipo.
Hawa ndo walioanzisha safari yetu ya mafanikio ..
Hata wewe uliyeandika hapa hauko sahihi kichwani
Yaani umeshindwa kutambua kumtukania mtu mzazi wake si sahihi , lakini wewe umekuja kuuliza Kama ni sahihi au sio sahihi ?
Ndo ujue akili yako mwenyewe haiko sahihi
Ukiona hivyo wewe hauko kwenye list yake ya watu muhimu
Usijisikie vibaya tafuta hela
Zamani nilikuwa nasema watu wakipata pesa huwa wanabadilisha marafiki
Nikaja kugundua kumbe ukipata pesa na marafiki wanabadilika automatically pasipo wewe kutaka ..
Unakuwa una marafiki wapya..
Ndio Hakuna anayejali viongozi wote ni kama mwehu ndama
Wamejaa vitambi kama mr pipa
Na midomo yao kama dubu
Sio mbaya hao madaktari wawe na Uzalendo wa Kitanzania..
Kuna watu mpaka watakufa sizani kama walifurahia maisha
Mojawapo ni watu wa Daslam
Ikinyesha tabu, jua likiwaka tabu, mnawahi kuamka na mnachelewa kulala
Watoto mmewapeleka babycare wakalelewe hamna muda wa "kuishi"
Mna maisha ya hovyo wa sana
Mmejawa malalamiko yasiyokwisha.
Sio mbaya...
Uko kwenye group la School/class mates halafu wewe peke yako ndo apeche alolo huna kazi huna nini
Wanajadili masuala ya familia, mitoko mbalimbali
Wewe unaishia kuchungulia tu..
Hapana niliondoka kwenye hilo group
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.