Mimi ni mwananchi ninayeishi maeneo ya Tabata Mawenzi, na napenda kuwasilisha yangu yalio machache kuhusiana na huduma za Tanesco yanayotolewa na kituo cha Tabata- Liwiti ,Mkoa wa Ilala. Binafsi nilikuwa nasikia malalamiko ya watu mbalimbali kuhusu huduma mbovu na zenye viashirio vya rushwa za...
Nafikiri busara ingetumika zaidi,matumizi ya ndege kwa mtu mmoja ni makubwa,justification iliyofanywa na Mama Tibaijuka haendani na hizo gharama na ukiangalia wagonjwa wamelala chini,hivi si ungebeba vitanada ukaenda navyo,naamini kuna tathmini za kila siku zinafanyiaka mahospitalini ,na...
kamanda alitakiwa awe kioo cha jamii,na hiyo yote nikutokemea kwa sasa ya msiba ,kemeo lazima liwepo ikiwa na mifano hai kama hii,hujui kuficha uozo kama huu tunaeleka wapi.nyie ndio msiwaeleza watoto wenu ukweli kisa aibu au kifo! Shame on you!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.