Inafikirisha. Ukisoma mwanzo 1:27 unaona Mungu aliumba mtu mume na mtu mke kwa mfano wake siku ya 6. Ukisoma mwanzo 2:23 unaona Mungu baada ya kumwona Adam ni mpweke akaamua kumfanyia msaidizi kutoka kwnye ubavu wake ambaye ni Eva, kwa maana hyo unaona kabsa eva hakuumbwa siku moja na adam...
Gnome keyring hii kitu nilijikuta tu nimeiset sasa inanitesa. Password niliyoiweka inaniambia siyo sahihi, nataka kuiondoa kabsa au niweze kurecover password yangu. Msaada please kwa wajuzi wa linus (edubuntu 14.04 LTS)
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida nnayoiona kwako unapenda sana watu waamin unachoamin, mtu akijarbu kuhoj lazima uwe mkali. Hakukua na sababu ya ww kuwa mkali kwa Eiyer hoja kusupportiwa au hupingwa kwa hoja na si kuitana wajuaji
Upande wangu nshatumia kingroot, kingo root, frama root, iroot, z4 root mara kibao tu na hakuna ambayo imeweza root j8 boom. Kingroot walinipa notification kwmba there s no strategy yet.
Nmezaliwa na kukulia keko na sitegemei kabari. Keko imegawanyika na kila kpande kina tikili zake za maisha. Toroli wanategemea sana biashara ya sofa, molemo na magurumbasi yote ya bonden haki kwa snakeboy walijiweka kimichezo sana hasa ubondia, national wtt wa pale walikuwa kishule kidogo na...
Kaka yake anaitwa haji na mdgo wake anaitwa hassan wote ni polis. Tena kuna mdgo wake mwingine anaitwa karim alikuwa mwanajesh akasafir na timu ya jesh australia kwnye mashindano ya majesh hakurud tena Tz.
Watoto wa snake boy walikengeuka ni wawil tu, musa na daud. Vjana wakabaj keko ni weng na wanatoka familia tofaut sidhani kama ni haki kusema rashid kaleta janga. Keko ukabaji haujaanza jana, tangu enzi hzo za akina marehem chatu, ally kingongo tena enzi hzo ukabaj ndo ulikuwa kwnye highest...
Ukabaji keko ni miakq hyo kwa sasa ukabaji upo lkn ni kama maeneo mengine tu ya dar. Kumlaum snakeboy eti kaleta janga nadhan ni kutomtendea haki snakeboy, wtt wake ambao ni watukutu wapo wawil tu daud na musa na hawajashindikana ss cjui unapata wap haki ya kusema eti kaleta janga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.