Toka alipoteuliea mramba kwa maoni yangu na kwa mara ya kwanza niliona tanesco wakifanya vizuri kwenye kutoa huduma kuliko wakurugenzi wote waliopita,,zile kelele za uooooo tulishazisahau ila si muda mrefuu zinarudiii
Soda za chupa zote si salama nimeuza duka kwa muda mrefu kampuni zote mbili pepsi cola pamoja na coca cola huwa wanakuwa na soda chafu,,,kunywa soda iliyowekwa kwenye chupa ya plastiki kwa usalama wa afya yako.
Watanzania tumezidi kutafuniwa vitu tunataka kumeza tu, hata ukipotoshwa kidogo tu unakubari na kuanza kupoteza muda wako kukomenti mada za kizushi,,smartphone zote zinazokuwa kwenye promo line 1 lazima utumie tigo line2 mtandao wowote ila ili uweze kutumia lazima uweke line1 tigo, pia kama una...
wazazi hawapo karibu na watoto wao kabisa ninavyoamini mimi ule ukatili alioufanya yule inawezekana siyo mara ya kwanza,,na kwa kipigo kama kile mzazi aliye karibu na mwanaye ataweza kuona alama za vidole mashavuni au mwilini lakini dada wa kazi anaachiwa kila kitu mama hamuogeshi mwanaye hata...
Du mwenye nazo ataongezewa na lisemwalo lipo kama halipo basi laja,,kikwete na home shopping center nilijua majungu tu siku zote kumbe yapo. Kweli hakuna mwafrika awezaye kuongoza.
watanzania kwa ujumla madereva waliokamilika ni wachache sana,,hapa dar tu unakuta mpo watu zaidi ya 10 kwenye alama ya pundamilia lakini unakuta gari inakuja kwa kasi honi pamoja na matusi kwa wavuka barabara
Si kweli kuwa wazawa tumelala,,tatizo kubwa tulilonalo ni mitaji mikubwa inayotakiwa sio mipango na pia serikali kuto kuweka sheria kali na kuzisimamia kulinda wawekezaji wazawa dhidi ya wageni. mfano wachina wanakuja Tanzania wanapewa leseni ya usafirishaji wana basi mbili tu ambapo kuna wazawa...
Du kuna wadada ninafanya nao kazi, mmoja ana mume na watatu hawana bosi asipokuwepo wao ni kupiga picha tu na kubari status za whatsap, kibaya zaidi alhamisi mpaka j/pili wao ni shisha na kashata za bangi, wawili kati yao wameshanunuliwa iphone 5s na waume wa wenzao.
Kilichokutokea hata kwenye familia yetu yalitukuta, lakini siye watoto wa kiume tuliona sawa na hatuku umia wala kumchukia maid wetu ila dada zetu walimchukia sana, Mzee ana kisukari wakaulizwa mtakaa na baba yenu mpaka lini, je mkipata wachumba mtaendelea kuishi hapa nyumbani na baba yenu?, je...
Kuna kaka yangu kaoa mwanamke ambaye tayari anawatoto wawili, anaishi mbezi jamaa aliye zaa naye anaishi mbagara likizo ya pasaka mtoto alikuja kwa mama yake sasa likizo ilipoisha ile amrudishe mtoto kwa baba yake mbagara alitoka asubuhi akarudi jiona sababu ikawa oooh foreni, kuna ugomvi mkubwa...
Hata yeye mwenyewe Jk nahisi anajuta kwa Kuwait kwenye chama chenye watendaji wabovu, mikutano yore ya nje na mikubwa ya ndani lazima ashiriki yeye akiteua mawaziri kumwakilisha hata hutuba tu walizoandaliwa hawawezi kuzisoma vilevile hata hao wanaobaki akiwa nje ni madudu Mara tutatoa taraka.
Du pamoja na majanga ya foleni zisizo na majibu dar,umeme usio wa uhakika bado unasema hawa ni bora kweli ccm watatawala milelele kama wenye uwezo wa kuingia jamii forums wanawapongeza hawa jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.