Wakuu , Katika kupekua pekua kwangu nimekikuta kitabu hiki mahali fulani.
Nikaona nijaribu kuwaletea wanajamii forums , huenda kitakusaidia kwa namna fulani .
Na kwa yeyote mwenye kitabu chochote kihusuyo afya anaweza kutuwekea pia.
nitajaribu kuki upload hapa, kitabu...
Waungwana naombeni msaada wa namna ya kuondoa matangazo kwenye Website, maana nikifungua tu Internet Explorer au Fire Fox, yanajaa matangazo ya games tofauti nyingi, na PC Cleaner mpaka inakera. Ninaomba kama kuna njia ya kuyatoa, na jinsi ya kuepukana nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.