Kujua kifo ni swala dogo mno lakini litakuwa gumu muno kama hujajijua wewe ni nani ?
Na ukitaka ujue we ni nani lazima ufute yote unayohisi unayajua na uanze upya kutafuta hasa hicho kitu wewe naa kwa ninavyo kuona unaogopa kifo kwasababu unahofu na kifo kama hofu hauna uwezi ogopa kifo je...
Huyu mleta mada hajui chochote watu tunasema hakuna mungu kwa sababu tumeweza kufanya vyoote ulivyokaririshwa kuwa ni miujiza pia tunajijua ss ni kinani tumetoka wapi na tutaenda wapi wala hatuna waswas kama unavyodai kila kitu kwetuu mnyooko tu hakuna hofu hata tukimaliza maisha haya...
Sishangai kabisa hata mm najua nilipo kuwa kabla ya kuzaliwa tz
Hiyo reincanation ila bahati yako umekumbuka wengi wetu hawakumbuki ndo maana unaona wana comment kwa kukebei
Mleta uzi kama nmekusoma yaani wewe unavyochukulia vitu na wenzako wafanane na wewe ilo haliwezekani kwa asilimia 96
Kusema hiki kitu ni cha 'maana' una maana gani ? Kwani vitu vyoote vina maana kama unavyovipaa maana au ulivyo lelewa na mazingira.
Naona wengi wanasema kuhusu elimu kwani...
Hofuu na wogaa wa kupokea mawazo mapya elimu mpya kuhusu wewe vikikuutoka haki utajiona kiumbe kipya chenye furaha ha mweli uhuru na amani ya kweli zaman nilikuwa mbishi sana kuhusu haya mambo lakin uelewa wangu ulivyotanuka nkaelewa vzuri wala si kwa. Kukaliri before sjaruhu akili yangu...
Mleta uzi ukiweza kujibu hoja zako zote nje ya biblia ndo utajua mambo mengi kuhusu mungu na usipojizuia sikio lako kupokea idea mpya utajua wanaokataa mungu wa kutoka asia wana nia gani
U cant answer what happen out of box while your still in box itakua crayzest
Hapa alieandika biblia alikuwa na IQ kubwa mpaka watu mnabishana kwa stor za kusadikika kutojielewa sisi ni kitu gani ndo kunasababisha kuwepo kwa sintofahamu kama hizi za mleta uzi
Kuna hasara kubwa walioturetea hawa watu hadi hatuwezi kujadili kujihusu sisi badala tunapigania assumption zao...
Jambazi yuko sensetive kuliko hao askar wenyewe sina uhakika kama jambazi anaweza fanya tukio kama hilo alafu akabaki mahala pale angoje polisi laah
Nachokiona hapa kama askari wamefanya maauwaji kwa washukiwa inawezakana wame kosea inawezekana kati ya wale mmoja wao au wawili wao inawezekana...
KUmbuka kuwa ulizaliwa ikiwa ni empty hiyo kichwa lkn kutokana na malezi shule dini unavyoona kwa jamii matukio unavyitafisiriwa ndo baada ukaita akili kwa ukiwa na uwezo wa kutunza kumbukumbu vzur na ukakumbuka kwa wkt utaitwa una akili sana lkn sio ivyo wewe it like empty cd there u start to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.