Hakika nimepata faraja, ila wanawake sijui ni viumbe wa aina gani?.
Nimeamka sina kitu zaidi ya 5000 mfukoni nikamwambia mwanamke kuwa sina kitu ila 5000 kaniomba hiyo 5000 akanunue mboga ya siku nyingine (siku hiyo ilikuwepo), kwa madai kuwa yeye ana hela atanipatia.
Imefika muda wa kuondoa...
Kazi yangu ni kukaa nyuma ya keyboard na kuhesabu Israel katoa roho za wairan wangapi na Iran karusha makombora hewa mangapi kwenda Israel. ππππ
Vita haipo kama mipasho kwamba ukibishiwa na wewe unabisha.....ila uzuri ata wewe unafahamu wakina nani wanalia kunaposikika puuuuh.....
Kama vipi Iran nao waue jeneral wa kiisrael la sivyo hadi sasa ni (Tatu bila).
Wameondoka kwenda wapi? πππ..
Wewe hujui Palestine ni Israel na Israel ni Palestine.?
Kifupi Palestine ni mchungwa wa uani wake Israel, muda wowote chungwa linapodondoka anaokota au anaacha.ππππ
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.