Hajarogwa, anaiga wazungu, wazungu ndivo walivo, hata ukimuoa mbunye hupati mpaka apende yeye. Ni utumwa kuoa mwanamke wa sampuli hii. Msingi wa ndoa ni ngono. Ngono ikiwa adimu hakuna haja ya kuendelea kuiita ndoa, bora ivunjike. Ugumu ni kwa wenzangu wanaooa kwa mahari kubwa mpaka unafilisi...
Haya ndo madhara ya kuwapongezà polisi wanapoua hovyo. Polisi mweledi ni yule anayefanikiwa kumkamata mtuhumiwa akiwa hai. Kwa staili hii ya kuua raia na kumpachika ujambazi, usalama wa RAIA umo shakani.
Hakuna Mtanzania mzalendo anayeunga mkono huu wizi bali tunashauri umakini wa hali ya juu kwenye kushughulika na hawa watu. Tukibugi step madhara yake ni makubwa kiasi cha kugharimu vizazi na vizazi. Mungu ibariki Tanzania.
Mwanamume mwenye Wake zaidi ya watatu ni Kiongozi bora wa jamii. Kitendo cha yeye kuishi nao kwa amani na utulivu kinatafsiri uwezo wa hali ya juu alo nao wa ulezi, ualimu, uongozi na usimamizi wa jamii. Hongereni Wanaume wenye Wake wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.