Bora hata umempa nafasi ya kumuuliza maswali kama hayo ...nimeona watu wanaenda straight kwenye hauko mzima, etc etc but its actually very possible to stay for all those years and wala usiwe una masturbate na wala usiwe na sexual desire na ukawa bado mzima e.g demisexuals, have people even heard...
Hivi WhatsApp kuna njia ya ku transfer full Admin rights to another member? Maana nina miezi nimekimbia kwenye ma group sasa kuna moja nililitengeneza mwenyewe :lol::lol::lol: Nawawazia kondoo zangu wanavoendelea lolol shepherd kakacha, ningewezea wapi na shule inawaka moto niache kuzima...
Wazo la kwanza lililonijia ni account yake ya Google/Gmail kama inafanya kazi - acheki, anaweza kwenda kwenye settings -> accounts -> google account - remove account, then add it again and sync.
Pia nimeona kwenye hii link wamefafanua zaid matatizo mengine kama: date settings, clearing cache on...
You are very right! Hua nina tabia ya kufuta temp files ila nilikua sina tabia ya kucleanup disk, sasa juzi nilikua na install Cygwin na nikawa nataka kuilink na Oracle's virtualbbox ikawa inagoma kabisa..yaani programs zangu niki run kwenye cygwin zinashindwa kufungua zile files za virtual box...
SItosahau siku bibi yangu mzaa mama alivofariki mwaka 1993..alikua anaugulia kwenye chumba chake..nakumbuka hakikua na mwanga sana (kijijini) na siku hiyo nilikua siishi kwenda kumcheki chumbani kwake anaendeleaje maana nilikua nampenda sana (Na yeye anaitwa Leney kama mimi na nilikua naishi...
Dah..I feel so sad about this, you sound so frustrated, kama unaamin maandiko basi soma zaburi 32:8 "Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea, nitakushauri, jicho langu likikutizama", Muombe Mungu huwezi amini atakupa amani na jinsi ya kusimama tena na kukuondolea maumivu, usiweke imani...
"Those that go searching for love, only manifest their own lovelessness. And the loveless never find love, only the loving find love. And they never have to seek for it." H. Lawrence
Yaani nimejikuta natabasam haha, hata kama story inasikitisha, pole mwaya, ulivobadilisha hayo mapambio hahaha
Tafta mdada wa Liverpool, sie hatuna hizo issue kama za wadada wa Arsenal
Aaaww, nice!!!
All the best guys, no one is perfect, unampenda anakupenda haimaniishi hamtakosana na tuna njia tofaut ya kupokea makosa cha msingi tu ni kujuana ili kilamtu amsaidie mwenzie kua bora zaidi. Na wewe mwambie yako ya moyoni basi maisha yanasonga. Mie na mpenzi wangu ni kama ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.