Ili kuwahimiza vyama vya siasa kushiriki,jaribu kuwaandikia barua kuwataka waandae hoja zao waje kuwasilisha siku hiyo ili kujenga mazingira shirikishi kwa political actors ,pia serikali kupitia kongamano hilo ipate salaam kuwa wananchi wangependa KATIBA MPYA ipatikane mapema ili wananchi...
Katibu Mkuu,
Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM),
Morogoro Road/Opposite to Lumumba street,
S.L.P 0000,
DAR ES SALAAM.
YAH:HATIMA YA UVCCM NA SIASA ZA CCM/TANZANIA.
Nimesoma habari mbali mbali kuhusu Maazimio ya kikao cha Baraza kuu la UVCCM wiki iliyopita mjini Dodoma,nina haya...
Kuna baadhi ya References za WEB DESIGN/WEB DEVELOPMENT zinasema MACROMEDIA DREAM WEAVER is the same as WYSIWYG Visual Editor lakini zingine zinasema kuna tofauti,je wadau nini tofauti hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.