Naomba kujuzwa kuhusu game za mission kama gtv 4 na gtv 5 huwa naona video za wale jamaa wa youtube wanaelekeza jinsi ya kupakua zile game mimi huwa na jaribu lakin sifanikiwi.
Vipi kwa humu ndani kuna mwenye ujuzi na zile game anisaidie.
Ndugu naomba kujuzwa ni Magame yapi yanacheza au yanakubali kuplay kwenye desktop ya core 2 na ram 2gb hdd 320 na window ipi ni nzuri kwa magame kutokana na uwezo wa mashine yangu.
Habar za humu natumaini mu wazima kiasi japo tupo kwenye kipindi kigumu naomba kufahamu au kujulishwa game nzuri za kucheza kwenye simu ambazo ziko offline natumain nimeeleweka waajuzi mtanijuza.
Asantee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naishi Dar ni kijana/boy mwenye umri wa miaka 22 natafuta/nahitaji girlfriend mwenye age kati ya 20-21 awe musilum pia awe ni mkazi wa Dar karibu PM kama utakuwa uko tayari mengine yatafuata.
Habari zenu wapendwa humu ndani,
Mwenye ujuzi au utaalamu wa kushusha new movie kwenye simu za android anisaidie maana kuna movie naitafuta sana.
Plesae naombeni msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.