imagine mifumo ya ulinzi inadaka baruti!!!hiyo mifumoina shida sana,na kweli Iran ilirusha makombora mengi feki ili kuuweka bize mfumo huo wa mchongo wa ulinzi huku yale makombora ya kweli yapate kupiga kwenye target,sasa Iran wangekuwa siriaz siku ile leo si tungekuwa tunawaombeleza wateule wa...
asa we uganda hapo wajeda wenyewe wanashindia matooke kutwa nzima then ushindwe kuwaokoa mateka kweli...hawajamaa wanajipaga sifa wakikuta na viazi kama vile vya uganda lkn wanangu wa Hamas wana akili timamu,haomakomando wamewaua mateka waliokuja kuwaokoa halafu na wao wakamalizwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.