safi sana CHADEMA. Pigeni kazi hakna kurudi nyuma nakubaliana nanyi na awaombea munguawape nguvu. swaga lachochezi linakwisha sasa sijui wataibuka na lipi? heko wapiganaji
UVCCM msifanye na msijejaribu kufanya mnachotaka kukifanya. hakuna zaid ya Riz1 tena ikibidi tumpe uenyekiti ili na yeye atuongoze kama baba yake. Mbona sioni shida yake? Mkome msifanye ujinga mnaotaka kuufanya.
nafikiri ni wakati muafaka wa kuungana na wanajamii baada ya safari ndefu na ngumu ya uchhaguzi ulopita. nasisitiza ccm ni mshindi hata kama tulichakachua hao waliochakachuliwa walikuwa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.