Mkuu pole sana kwa maswahibu yaliyo kukuta. Ngoja nikufafanulie kwa ufupi
Vipimo vya HIV for standard diagnosis vipo vikuu viwili. Kuna kinachoitwa(1)SD Bioline hiki hupima HIV ambapo huchukua dakika 5 mpaka 15 kutoa majibu.
( 2) kuna kipimo kingine kinaitwa UNI GOLD hiki pia hufanya kazi...
Habar wakuu. Naombeni msaada kuna mdogo wangu binti wa miaka 23 amemaliza chuo cha utumishi tanga. diploma in record keeping and management. Ana vyeti vyote na sifa zote muhimu za kuajiriwa yupo daresalaam. Yupo tayar kufanya kaz mkoa wowote ndani ya tanzania au hata nje ya tz..
Any way..!! naona watu mnaleta masikhara wakat ni jambo la ukweli. Kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia thus why i do this..!! But nipo serious kwa maelezo ya ziada namba zangu 0712268339
Hahahahaaa...!! Ni kweli sema mazingira yalikuwa magumu na Niliacha kaz kwa sababu ya maslahi duni. Nipo tayar kupiga kazi mwanza, Dar na Arusha, even hata nje ya nchi
Wakuu habar za humu. Kuna rafiki yangu ni anaethetist. Anatafuta kazi vyeti vyoote anavyo. na ana uzoefu wa kazi kwa miaka 3. Mwenye hosptal ya private kwa daresalaam,arusha, au mwanza yupo tayar.!
Nauza kiwanja kwa bei nafuu sana
kipo maeneo ya chanika standi daresalaam kina urefu wa nusu hekari. Hakina mgogoro, kina hati miliki zote kipo mjini kabsa namba zangu 0712268339
Karibu tuongee biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.