Habari wakuu,
Samahani naomba kujua ni dawa ipi ya kutibu Malaria inayoruhusiwa kutumiwa na Mama anayenyoshesha?
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Habari za leo ndugu zangu,
Naomba msaada kwenu Doctors wa kufahamishwa dawa nzuri ya mafua kwa mtoto mchanga wa wiki mbili toka amezaliwa.
Mafua aliyonayo mwanangu hayatiririki Ila yanamsumbua sana hasa akiamka usingizini anapata wakati mgumu sana.
Kuna Doctor alinishauri nimnunulie Nasal...
MREJESHO: KIMO CHA MIMBA KUWA TOFAUTI NA UMRI WA MIMBA .
Ndugu zangu, wiki kadhaa zilizopita nilileta Uzi huu, kiukweli nawashukuru sana maana asilimia kubwa nilifuata ushauri wenu na hatimaye Jana mke wangu aliumwa uchungu nikamuwahisha hospitali na hatimaye Leo mida ya saa mbili asubuhi...
Habari wanaJF
Leo natarajia kupata mtoto wa kike, hivyo naomba msaada wenu wa majina yanayoanzia na herufi B. Nataka nipate jina linaloanza na herufi B kwa sababu mwanangu wa kwanza pia jina lake linaanza na herufi B, anaitwa Beatrice.
Naomba msaada wenu tafadhali.
Asante sana mkuu, nimekuelewa vizuri sana,
Kitu ambacho kingine ameambiwa ni kwamba mtoto anatakiwa awe ameshashuka kwenye nyonga lakini hadi sasa hajashuka kwenye nyonga ,je na hili lipo sawa mkuu?
Wilbert1974,
Asante mkuu, kwahiyo Mimi kulingana na suala langu wife anaangukia kwenye kipengele cha pili GA 30 FH 38 ina maana yeye haijazidi 5 maana ni GA 37+6 (38) na FH ni 40?? Samahani naomba tena ufafanuzi kidogo mkuu.
Ni kweli ,maana Mimi nipo safari mbali kidogo na wife lakini wife kauliza akaambiwa kwamba huenda ana mapacha hivo akapige ultra sound ,yaani ni kama huyo nesi kamfanya apanik.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.