Hii ni forum mkuu ,jiepushe na tabia ya kuwa mjibuji wa kila uzi itakusaidia sana kuficha upuuzi wako .
We unaona kumiliki RIM ya pikipiki ni jambo dogo siyo?
Unamiliki nini zaidi?
Kuna mstari umerukwa hapa , wale wataalam wakusoma between the line tutakubaliana kuwa Kuna mstari umerukwa hapa [emoji84][emoji84]
1 Iliwezekanaje family nzima tena wake kwa waume yaani Baba Mama mjomba ,majirani hadi mzee wa ukoo wamuache mgonjwa teeena binti wa kike kwa mchungaji teena...
Tofauti kubwa huwa kwenye miundombinu tu lakini kwa heshima huwa ni yakiwango sawa bila kujali utofauti wa ukubwa wa Taifa lake au Uchumi wake.
Kwetu wanatumia barabara zaidi na mbaya zaidi hatuna barabara mbadala tofauti na zile zinazotoa huduma kwa uma , kwa wenzetu hali huwa tofauti kidogo...
Wanainji kwa sauti moja tumekubaliana kwa pamoja kuwa mwendazake amekufa kifo cha kawaida kabiiiisa (natural death) na huo mpango wenu hauna tija kwetu .
Kama kweli kuna aliyetuondolea hilo JIWE hakika huyo anastahili heshima maalumu kwa kudhihirisha uzalendo wake kwa Taifa.
Tuweni tu...
Good analysis
Umeeleza vyema Sana na nafurahi kuona ukiwa na mawazo chanya kwa mustakabali wa Taifa letu .
Nimefurahi kuona ulichokuwa unakipinga kule ndicho ulichokiungamkono huku ,kule niliamua kusitisha mjadala Baada ya kubaini kuwa wewe ni mkongwe mwenzangu humu ,much kudos jombaa.
Wewe...
Kama MWENDAZAKE alikuwa anaifuatilia hadi "SHILAWADU" sembuse Mama iwe ngumu kuingia Jamiiforum ?!
Kwa wasiyojua "JAMIIFORUM" ni miongoni mwa vyanzo muhimu sana vya taarifa vinavyotegemewa na serikali .
Humu kuna zaidi ya 89.3% ya viongozi wakuu wa serikali .
Kwamuhitimisha na bila kujali...
Nilidhani ingelikuwa busara kuzungumzia ubora wa waliyoteuliwa kuliko kuzungumzia habari ya usawa wa kijinsia , kwani wanaenda kuzaa huko ?[emoji12]
Hata kilichompa shavu Madam wenda kikawa ni weredi na utulivu wake wa kiakili kiasi cha kuaminika kuwa anaweza akamfaa MzeeBaba na siyo jinsia...
Kwa historian ya Taifa husika tena tukianzia tu mwaka 1959 to 1991 ndoto ya Rwanda kufikia ndoto hiyo ni ndoto za rastafarian [emoji12]
Kilichoko Rwanda kwa sasa hakina tofauti na kikichopo kwenye mfuko wa kichaa .
Wakati wowote kinaweza kuwa chochote kivyovyote .
Licha ya Kagame kujitahidi...
Yeah although pia tusisahau kuwa tunatofauti ya KI-UMRI kati yetu na wao mkuu wangu , they talk about two hundred years tangu wapate uhuru and we are now almost 60 yrs since then , so tusijisahau pia kulifahamu hilo wakuu .
Tofauti ya wazi ni kwamba
TUNA UTOFAUTI WA POLITICAL STRUCTURE BAINA YETU NA WAO .
Wao ili uwe kiongozi nilazima uwe na kitu kichwani CRITICAL THINKING AND HIGHLY RESOANING CAPACITY wakati hapo nyumbani cha muhimu UWE NA K³ ujue KUSOMA ,ujue KUANDIKA and finally ujue KUHESABU na mwisho na...
Wakuu kunatofauti kati ya kuaminiana na serikali mbili kukaa chini na kukubaliana kuondoa vikwazo kwamishi kama walivyofanya .
Kiusalama hakuna serikali dhaifu ya kiwango tunachofikiri wakuu .
Jamaa unaligi za kitoto sana aiseee .
Anyway ,wacha tu nikwambie kuwa mtu aliye na tabia za kutoka nje ya Taifa lake huwa hana udumavu wa kifikra kama uliyonao mkuu wangu .
Mtu aliye na mazoea ya kutoka toka huwa na maono mapana juu yake na ya jamii yake .
Japo mimi nipo nje ya Tanzania kwa...
Nijuavyo kwa saa za Africa ya mashariki saa hizi huko ni usiku mkubwa sana lakini mwamba uko imara as if uko kwenye payroll [emoji12]
Pumzisha mwili mkuu , huu ujinga wako hapa utakufanya aidha uchelewe kuamka au uamke ukiwa mchovu sana mkuu [emoji15]
Jamaa unaudumavu mkubwa Sana wa akili aiseee .
Kauli zako zinadhihirisha kuwa siyo tu ni mdumavu kifikra bali ni mtu usiye na mtazamo chanya juu ya kuzichungulia fursa zilizo nje ya Taifa lako vinginevyo usingelitumia nguvu kubwa hivi kuzijibu hizo unazoziita hoja za kipumbavu [emoji12] maana...
Nimeeleze misaada ile inayotolewa ilimradi imetolewa kwa muhusika pasipo kufanya deep analysis juu ya chanzo cha mkwamo wake mkuu wangu .
Kuna mkuu hapo juu amesema "UNAKUTA MTU ANAMPATIA MTAJI MLEVI THEN ANA EXPECT MATOKEO CHANYA" hebu tuuchukulie mfano huu as a case study , umeona kabisa...
Nadhani hoja za kibwege hujibiwa kwa hoja zilizojaa weredi ili muhusika ajifunze kwako otherwise utakuwa unamsaidia kujua anaongea na mtu wa mihemko kitu ambacho wenda kikamfanya mchangiaji wa upande wa pili ausikitikie muda wake.
By then kinywa changu hakina weredi wakuyatamka maneno yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.