Mkuu umechanganyikiwa wewe si Bure,kwa hiyo unafikia hatua ya kuifananisha Israel na Rwanda?
East and Central Africa,hakuna Taifa lenye uwezo wa kuipiga Tanzania.
Umesahau aliyewaangamiza M23? M23 walikuwa ni jeshi kamili la Rwanda ndani ya Congo,waliojificha kama waasi, Kikwete akawafurusha...
Wakuu.
Nili-reset simu yangu bila ku-save Documents zangu muhimu, na Kama ilivyo kawaida ya ku -reset kila kitu kinafutika, nami ndo hivyo kila kitu kimefutika.
Baada ya kufuatilia nimeambiwa kuna uwezekano wa kurudisha Documents zote zilizofutika Endapo nitapata mtaalamu wa kunielekeza...
Dunia tunayoishi imebadilika Sana,karibia kila kitu kinaendeshwa kidijitali ili kuendana na hali halisi ya mabadiliko ya kisayansi na tekinolojia.
Mwaka 2009 January, raia wa Japan Saitoshi Nakamoto alianzisha sarafu ya mtandaoni na kuipatia jina la Bitcoin.
Sarafu ya mtandaoni au...
His real name is William Wesley, he was born in Dublin Ireland and grew up in London. His parents moved to the Central Africa Republic to work there as missionaries while he was at age of 12 .
But behind the drape, his parents were not missionaries as they had been known, they were spies from...
Ni kweli kabisa mkuu, kuna kitabu namalizia kukiandika ni riwaya inaitwa.
The last chance for the US citizens
Based on a true story
Kinahusu anguko kuu la marekani Kwa miaka ijayo, nitakiuza kwenye kampuni zao wenyewe.
Wakuu salamu.
Kwa wale mliokuwa mkifuatilia simulizi tajwa hapo juu nawataarifu kuwa, kitabu kipo hewani tayari.
Kwa sasa nasambaza Mwanza mjini Kwa wauza magazeti.
Anayehitaji anicheki 0764646211.
Hivi Barbarosa huwa una matatizo gani ndugu yangu?
Ni wapi mtoa mada amefurahi? Hapa tumeletewa taarifa juu ya ndege yetu pendwa kushindwa kugeuka baada ya kutua, sasa wewe unasema eti amefurahi, Kwa hiyo kuleta habari ni kufurahia?
Badilika ndugu yangu, siasa haiendi hivyo, Hizo ndege siyo za...
Wewe ndo wale wale wenye akili mgando, kuna watu huwa wanafanikiwa wakiwa na miaka 25 tu, na baadaye hufilisika kabisa, lakini baadaye hupigana hadi kufanikiwa tena wakiwa wazee.
Unachokiwaza ndo kinachokutokea, ukiwaza umaskini utapata umaskini ukiwaza utajiri utapata utajiri.
Umri hata...
SEHEMU YA KUMI
SURA YA NNE.
Kiza mchawi na tajiri Gotham walitoweka ghafla tu, hatukujua walikokuwa wameenda.
Zilipita Siku tatu bila kuwaona na wala hatukuwa na nauli ya kurudi Kahama.
Tulibaki pale kwenye nyumba ya tajiri Gotham tukiwa wote watatu, pamoja na wafanyakazi watatu ambapo...
Nchi haipo vitani, lakini imefikia hatua hadi watu wanaoshinda wakiwa wabeba silaha kukosa mshahara?
Mtu anayeshinda na bunduki halafu akakosa mshahara majibu yake ni yapi?
Imefikia hatua sasa tujitathimini Kama taifa ni wapi Tunakoelekea, lakini kuna watu wajinga wataleta siasa tena, hili si...
SEHEMU YA TISA
Pepo wa kwanza alijitambulisha kwa jina la "Jemadari tamaa "na kazi yake kubwa ni kafara.
Pepo wa pili alikuwa ni jike, yeye alijitambulisha kwa jina la kilenzi au malkia wa kuzimu, na kazi yake kuu ni kushikilia pesa za dunia hii, na pia ni Waziri wa fedha wa kuzimu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.