Mimi pia nalima mchicha lishe unanilipa balaa naweka mbolea ya broiler baada ya wiki 2 napiga urea basi unanawili afu unarefuka nikipereka sokoni unaisha kwa dk 20 urea kg 25 ni sh 30
Mkuu humo kwenye magodown na maviwanda kuna dili zinapigwa za kufa mtu huwezi jua kuna mmoja ni mfanyakazi wa kawaida kiwanda kimoja kipo mbezi beach ana nyumba 2 za maana ana gari mbili za kutembelea (ila kazini haendi nazo anapanda daladala) anasomesha mtoto shule ya bei m 2 kwa mwaka...
Okay the factory or firm is found near or beside barabara mbili u will found men who manufacturing different machines kusaga kukoboa na kupukuchua fuata hiyo barabara mpaka jirani na uwanja wa mwembetogwa
Ukweli ni huu biblia inasema isaka Ndiye alie takiwa kutolewa kafala ila waarabu wamegeuza na wanamtaja ishimael mtoto wa kijakazi wa kimisri kwasababu tu ni mwarabu hapo ndo quran ilipo potosha Ishmael alikuwa mtoto wa zinaa kwasababu alizaliwa nje ya ndoa ila kwa vile ni mwarabu...
Huyu jamaa kajengo kamoja kakatupia humu milion time hana project zingine ni dalali mara yupo zanzibar mara dar tapeli achaneni nae picha anatumaga moja tu hapo usikute alienda kumtembelea rafiki yake fundi hapo site akapiga na picha anatangaza akienda kwa rafiki yake mwenye gari...
Yes yani hata dirisha ukiweka grill wanavunja na wanaiba ugonjwa wao ni flat TV na PC kwasababu demand yake ni kubwa kwa sasa na wanauza bei ya ajabu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.