Taratibu, kiongozi gani kajiharishia? chunga comments zako us I watching an is he viongozi na Mch Gwajima.. namheshimu Mtumishi wa Mungu anayejitambua na anayesema ukweli
Zitaje kwanza kampuni zake, kwani wewe umesikia kampuni gani ya Ridhiwan? akili nyepesi, hakuna kigogo wa serikali anayeweka makampuni yake wazi kwa majina yake.. anawatumia watu kama mimi na wewe, wanatumika watu kama Manji, Bakhresa, Rostam nk.
mwanahalisi hata ukinipa la bure sitaki, unafki wao wa kuniaminisha Lowassa ni fisadi na tamthilia zao za akina Jason Bourne zilinifanya niamini ni gazeti makini, ila niliyoyashuhudia baadaye halinifai even kwa kulikalia kwenye vumbi.
Polisi wa Tochi Barabarani wanajificha nje ya eneo la 50 halafu unazuiwa mbele eneo ambalo huwezi kurudi kwa mtu wa tochi, unalazimishwa kulipa faini na hakuna jinsi ya kuprove hiyo speed... Huu ni ufisadi mwingine mbaya sana, nimelelemika maana ni mara kama ya nne sasa tukio hili likinitokea...
Mbona hawaoni upande wa Pili? walichokioanda wqtakivuna, ukipanda ujabila utavuna ukabila, ukipanda ukanda utavunabukanda.. wacha ngoma lielekeebkule kule lilikotoka maana hatavRais tulitaka wa Kaskazini kwanini na Mbunge wasitake wa kwao?
Mmeshajua ukweli, kanisa lake ndilo lenye wafuasi wengi wwingiao ibada kwa wakati mmoja, ana kama 70,000/. niambieni kanisa la Catholic au Lutheran liingizalo ibada moja watu 5000. ni nini hamjaelewa hapo?
Huyu ndiye Mtumishi wa Mungu makini mwenye misimamo, angekuww na mambo machafu angelifumba kinywa, ilabhuyu jamaa anajiaminibmaanabyuko safivkwenye mambo yake, viongozi wengi wenye shaka na mienendo yao huwa hawathubutu kuigusa serikali au kukemea uovu wa viongozi wa serikali
bila kusahau kuwa wanatuibia sana salio, unanunua dk 105 za 2800 ukiwa na salio la 7200 kwa simu yako, unapiga dk 25 zinaisha zote, na ile 7200 inalambwa yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.