Habari wana Jf.. Kwa anyehitaji mashudu ya alizeti yanapatikana kw mkulima mimi.. Ninauza kwa Kilo
Kwa atakaehitaji tuwasliane kwa namba 0738-357-205
Sent using Jamii Forums mobile app
African countries bana, waeza lala usingiz wa miaka 30 ukiwawaza viongoz wa Afrika
Labda tuanze kwenye uhaba wa madaktar kenya unatokana na nn?
Jibu: Mgomo
Sasa how comes wasitatue huo mgomo na madaktar wao?, Kwann wafanye replacement? Tena sio ndan ya nchi bali kwa kuimport watu wengine...
Makamera man walikuwa majeuri
kishenzi yaani!
Kwanza unakuta hii
Kamera ina likamba fulani jeusi
inaning'inizwa shingoni.....
Kameraman ana kabaskeli kake hapa...
nyuma kana begi lina picha za watu ambao hawajamaliza madeni.
Kamera man anakupiga picha leo
anakwambia picha yako utaipata panapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.