Mi nazan amkijui hich chuo mwenywe nasoma apo hila nataka fanya transfer ikiwezekana nianze moja maana ata ukienda chuo kingine ukiwatajia kiu tu wanstuka wengine wanakwambia atuziamina credt za uko xo inakua ngumu kufany credt transfer
Kwa ushaur wng anaeenda chuo jitahid uende cha serikal...
Jaman nialipia hashflare.io kwa kutumia visa card yng lkn kule hashflare.io wanasema invalid purchase nan anajua njia ingene ya kulipa au mtu anaeweza tukakutana nkampa cash anilipie
Hii pesa haina mwenye nayo transaction Inategemea peer to peer ( sharing of resource on the network without depending on central administration systems) hivyo unaposema una mine hiyo ina maana kuwa una verfy transaction km ni halali ama sio halali km sio halali bas inakataa
Na hiinpesa...
Bitcoin ni pesa ya kidijital ilioanzishwa na kikund cha watu wasiojulikana japan wanaitwa SATOSHI NAKAMOTO.
Bitcoin inapanda value kila dakika usisahange sasa iv ni dola 11550 na baada ya masaa matano ni 12500
Kwa sasa 1 bitcoin ni sawa na dollar 11537 ni sawa na mili 26 iv za ki tz...
Habari zenu jamani kama nilivosema kichwa cha habari naomba mtu anayejua vizuri chuo cha Unique academy kilichopo Dar anielezee kama ni kizuri isije ikawa tena vituko kama Kampala napo, naomba msaada please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.