Salaam wakuu✋🏽
Naomba ushauri juu ya ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa kwa muongozo ufuatao; (though not limited to that)
1. Aina gani ya Ng'ombe wa maziwa inatoa maziwa mengi? Kwa maeneo ya joto joto kama pwani na Morogoro.
2. Naweza kuotesha nyasi aina gani kwa ajili ya malisho? Aina zipi...
Wanajamvi salamu!
Mimi ni mfugaji mdogo, nipo Morogoro.
Naanza kwa kumtambulisha Sasso kwa ufupi; Sasso ni kuku chotara wa nyama asili yake ufaransa, na hutokana na jamii ya broiler. Ni kuku anaejaza nyama sana.
Najipanga kuzalisha Sasso kati ya 200 na 300 kila mwezi, wakiwa na umri wa miezi...
Salamu wandugu!
Nauza mayai ya Sasso (Kuku chotara) trei 12,000/= , yanafaa kwa kutotolesha na pia kwa kula. Napatikana Morogoro mjini, Kihonda maghorofani!! Karibuni niwahudumie, popote nakufikia! Mawasiliano 0655454699
Mkuu mimi nina hofu ya Mungu hata kabla ya hizo ajali, labda niseme nimezidi kumpenda sanaaaa sanaaaa maana nimejua kuwa anapigana na wanaopigana nami usiku na mchana.
Mbona unamshambulia sana, una uhakika gani kama tatizo hilo linatokana na kuzama chumvini? Tujifunze ustaarabu jamani, hebu imagine ndio wewe unaomba ushauri halafu ndio unashambuliwa namna hii, would you be happy?. Halafu jifunze kuandika maneno ya Kiingereza vizuri kama hujui ni vizuri...
Mimi leo nipo hai ni Mungu tu amependa niwepo hai, nimenusurika katika ajali mara mbili ndani ya mwaka mmoja. Ajali ya kwanza ya pkpk ya pili gari yangu aina ya Noah mpka leo gari iko juu ya mawe but mimi natembea nikiwa mzima na viungo vyangu vyote, isipokua nina makovu mawili matatu. Hakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.