Habarini wadau
Naombeni kuuliza hivi thamani ya hivi vitu huwa nani anapanga Bei au huwa wanatoa Bei wapi au huwa serikali huwa na wao ni wauzaji?? Maana naona Siro huwa anasema tumekamata majangili yakiwa na pembe za ndovu zenye thamani ya milion 20 au cocaine kg 4 yenye thamani ya 10m ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.