kwanza kwa kweli nikupe pongezi na hongera nyingo,hatimaye Mungu kasikia kilio chako,kulala ukumbini kwa watu sio mchezo,kwa upande wangu ni pongezi tu hayo mengine tusubiri wadau
utumishi hawaangalii mwaka ulio maliza eti wampe wa nyuma kisa kasota mtaani,utumishi wako very fair kama umemaliza 2018 na una vyeti umefanya pepa ukafaulu kumzidi aliye maliza 2015 anaye pangiwa kazi ni wa 2018.So utumishi ni ww mwenyewe kufaulu kwako ndo kuingia kazini
Nashukuru sana, na je Congo mnavyo chukulia ni hizi Wax na Java au? Maana Java nyingi au Wax nyingi zimeandikwa made in China naomba kufahamu please na bei kule inakuwaje? Swala la kuuza hakuna shida ntakuwa na frem lakini pia kuuza online nitauza.
Mwenye uelewa kuhusu hii biashara naomba dondoo, mzigo unapatikana vipi, ni China au Congo? Ukihitaji kuanza mtaji unagarimu kiasi gani naomba mwenye uelewa hapa anijuze.
TAMISEMI watu walio faulu wengine wamepangwa halmashauri kibao tu nchi mzima,so yeye kama jina halipo tamisemi wala halmashauri na labda alifanya vzr ajipe moyo atakuwa kwa database.Ila kufika oral interview sio kupata kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji mtu anaye fahamu kunyoa vzr kwa ajili ya saloon ya kiume iliyopo arusha,napendelea pia mkazi wa Arusha ili kiepusha garama.Kama unahitaji njoo PM.
asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.