Habari zenu wanawateknolojia Naombeni msaada wa jinsi gani naweza kuibadilisha wine itoke kurun kwenye xp na iwe inarun win 7 kwani nahitaji kuinstall adobe lightroom kwenye laptop yangu ambayo inatumia ubuntu 14.04 lts
Asante sana wanaubuntu os
Instagram didn't start out as Instagram. It started out as ¡- Burbn. Kevin Systrom, the creativity researcher Keith Sawyer explains, was a fan of Kentucky whiskeys. So when he created a location-based iPhone app ¡ª one driven by the success of networking app Foursquare ¡ª he named it after the...
kikosi hakina mabadiliko..
Muda: 16:00 Jioni
Uwanja: Mabatini kibaha
Kikosi cha azam fc dhidi ya ruvu shooting... Team today
1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Gadiel Michael
4. David Mwantika
5. Aggrey Moris
6. Michael Bolou
7. Himid Mao
8. Sallum Abubakar
9. Gaudence...
The Captain is back, team pasi za chini, team soka la kisasa, team mpira wa kasi, kikosi cha leo kinachoanza dhidi ya Prisons ni
1. MWADINI
2. DAVID
3. ERASTO
4. MORADI
5. AGGREY
6. BOLOU
7. HIMIDI
8. SURE BOY
9. BOCCO
10. BRIAN
11. KIPRE
SUBS
1. AISHI
2. JABIR
3. MWAIPOPO
4. MCHA
5. KONE
6...
Saturday 1/2/14
Ashanti vs Mgambo - Azam Two Simba vs Oljoro - Azam One
Sunday 2/2/14
Yanga vs Mbeya City - Azam one Azam vs Kagera Sugar - Azam two
Wednesday 5/2/14
Jkt Ruvu vs Ashanti - Azam OneMtibwa vs Simba - Azam Two
Huu ni mwaka wa kwanza wa Azam TV... Baada ya miaka mitano kila...
husika na heading iwe na specifications hizi..
ram 4 gb
hdd 320 nakuendelea
iwe mpya tokea kenye box.. maduka yanahitajika zaidi..
Stefano Mtangoo chief-mkwawa C6 na wengine wote..
Naombeni msaada kwenye hilo maana inaweza kufanya kazi vizuri siku kadhaa halfu inagoma naomba msaada kwa hili
pc ina memory 2 gb hdd 160 gb screen resolution 1780 x 788
Cc. @cto chief-mkwawa Kang Wi-Fi MziziMkavu C6 Young Master JamiiForums
Mechi zitakazooneshwa moja kwa moja (live) na Azam TV kupitia TBC1 wikiendi hii ni kati ya Simba na Tanzania Prisons itakayochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na ile kati ya Azam na JKT Ruvu itakayofanyika Jumapili kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Hii timu imepanda Daraja msimu huu maskani yake yapo Mbeya Region na inawachezaji wazawa kibao hadi kocha mzawa yaani hii timu ni ya kikwetu kwetu zaidi.
Jezi: Dhambarau tisheti na kaptura nyeupe
kiwanja: Sokoine Stadium
Mdhamini mkuu: Zuku TV
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOSAJILIWA MSIMU WA 2013/14...
Habari za kwenu wakuu!
kuna hizi adds-on za mozila nimetengeza kwa ajili ya wanaJF na wapenda michezo pia mnaweza kuzijaribu pia.. link zake ni hizi hapa
1. https://addons.mozilla.org/firefox/addon/azam-fc/
2. https://addons.mozilla.org/firefox/addon/jamiiforums/
Karibu wote.
Wakuu habari zenu..
Naomba msaada wakurudisha Touch view to wapsite view maana nimebonyeza Touch hapo juu pembeni ya Logout naona haitaki kurudi kawaida baada ya kubonyeza wapsite chini.
Naomba msaada ni fanyeje.. simu: samsung os: window mobile 6.1 app: operamini 5 for wb
thanks in advance
If Google Drive, YouTube, chat--even productivity apps--are costing you money and productivity, it's time to give them the axe.
Whether employee or employer, the fact is we are all easily distracted. Studies have proven that multitasking is a mythand although we can switch between tasks...
Well, look what we have here, if it isnt a white Nexus 4! Hang on, you say youve seen this before? Wait, this is official! Thats right, after all of the leaks and speculation, LG have finally taken wraps off of the White Nexus 4. The device is now official and for those wanting to get a taste...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.