Yaani unaamini kabisa makonda kama Makonda anaweza anaweza kufuta ujinga ambao umekaa kimuundo hapa kinachohitajika ni mabadiliko ya system nzima maana ipo siku makonda ataondoka huoni tutarudi kule kule
Haya mambo yataendelea kuwepo tena yatazidi maana wapumbavu na wajinga wanazidi kuongeka pia ndiyo wanatoa vibali na ridhaa kwa hawa matapeli kuzidi kutamalaki
Nawasalimu nyote kila mmoja kwa nafasi yake , kama nilivyoeleza hapo juu , kwa yeyote anaweza kupata hizo cable za photocopy machine IR 2520 -cable ya kutoka kwenye IP board kenda katika scan board pana na cable ya kutoka scan board kwenda ADF.
Nipo Dar maeneo ya posta -0753390827
The master nilijaribu kufungua pc yangu ambayo ni hp folio 1020 ili nianze kufanya kama kama ambavyo wewe pamoja na wadau wengine mlivyosauri lakini sasa nilishindwa maana hdd yake ilinichanganya kidogo ni kama inavyoonekana kwenye picha , hata cable nilishindwa kununua
Nashukuru kwa maelezo yako nimeelewa vizuri naswali dogo mimi computer yangu hard disk yake ni ssd nikifuata hatua hizo ulizoorodhesha hapo itafanya kazi .....
Heshima kwenu nyote wana jukwaa, naomba kufahamu hili tatizo kwenye picha hapo chini kama linavyoonekana kwenye picha linasababishwa na nini na jinsi ya kulitatua. Naomba kuwasilisha kwa yeyote ambaye anaufahamu wa hili tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.