Kwa tabia zilizopo TRA Katavi kwa wafanyabiashara si rafiki na kuridhisha unapokwenda TRA Katavi utadhani umekwenda kituo cha polisi, mikwara umekuwa mingi baada ya kuelimishwa na umekwenda kuwalipa kodi, hiki ndicho kinachofanya kuona kama usumbufu namna huduma zao.
Wahusika angalieni mkoa huu...
TRA wanazingua iweje mfanyabiashara apewe TiN namba baada ya mwaka adaiwe tsh 700000/=wakati kumkadilia hiyo kodi bado anastail kias hii wajibu mepesi mnayotupa mfumo wa tra umekupiga fine ya tsh 700000/=huo mfumo wenu ulikadilia lini ?nikashidwa kulipa na ifahamu nina mtaji kiasi gani
Baniani mazishi hutumia kuni kufanya mazishi nadhani alimani kulingana na vifo kuwa vingi utakea upungufu wa kuni za kufanyia mazishi )kama sikosei hapo wototo wakubwa wa marehemu.tayari walisharith hisa za mama yao
Siro katokea mbali sana toka akiwa RCO shinyanga miaka 2017 hadi 2018 RPC wake akiwa abdala msika badae akateliwa kuwa RPC tanga na mwanza nafasi hiyo aliopo anastahili
Awali ya ya yote ni kutaka kuwasalimu kwa jina la Jamhuri na kazi iendeleeee vijana wa kitanzania waliopewa majina teamleder yasiokuwa na faida kabisa kwao na familia katika kampuni ya Tigo wanatumikisha sana zaidi ya miezi 8 mwisho anakuja kulipwa utopolo, binafisi imenisikitisha rafiki yangu...
Tigo kitendo cha kuwa mnawafanyisha kazi zenu Hawa mnawaita teamleder wanasimamia mauzo yenu Galaxy mnawalipa T-sh 2500 hakubaliki Kabisa hapa Tanzania wizara ya kazi wasidieni Hawa vijana wanaweza jinyonga tigo wanacheza na maisha ya watu huwezi mfanyisha kazi mtu mzima na anafamilia
Unakuja...
TTCL igonjwa mkubwa uliopo inatakiwa kubadilisha sera iliyonayo sasa waje na sera mpya na itakayokidhi mahitaji tulionayo sasa na wachane na ufanyaji wa biashara wa miaka 47 walipokuwa peke yao kwa sasa biashara wanaiona ni mkongo wa taifa wakati pesa zinalipwa na rwanda burundi zinaingia...
Tanesco rekebisheni upande mteja anapopata changamoto ya urekebishaji mashine ya luku inapohitaji matengenezo kutakiwa muhusika aliyeomba awali umeme kutakiwa kiwepo wakati kifaa ninatumika na luku hunua mtu mtu kwenye matengenezo ya kifaa chenu kinapokuwa na hitilafu mpaka mwombaji wa awepo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.