1. Assistant Lecturer in Environmental Health and/or Occupational Health i. Qualifications Holder of a Master Degree in Environmental Health, Master Degree in Occupational Health, Undergraduate Degree in Environmental Health with Masters in Public Health, Undergraduate Degree in Occupational...
sasa hapa sijakuelewa hoja yako hapa mkuu, tathimini ya jombo moja tu, tena kwa muda mfupi tayari mbio .....fulani hapiti, hahaha mlitegemea Slaa awepe nguvu...kwisha janja yenu...nunueni mwingine tena.
Kununuliwa kwa Dr. Slaa ndo kumewamaliza Zitto na watu wake pia, walijua Chadema itakufa lakini imevuka salama...mwaka huu mtamaliza vituo vya habari vyote, mkigeuka tu...Lowasa huyo.
Mtoa maada umesema mwenyewe kuwa hata huko Bureau De Change ni mpaka uombe risit ndo unapewa vinginevyo hupewi....sasa hapa ni kuwaonea Equity Bank bila sababu yeyote. BOT ndo tatizo usig=dhani kwamba hawajui...wanjua kwa undani kuliko wewe ufikiriavyo na hii sio jambo jipya. Kila mradi ama bank...
Iwapo CDM itaamua kuzungumza na kumrejesha ama kuungana na ZZK binafsi na natumai wafuasi wengi wa chadema watakihama chama. Ikumbukwe usaliti wa ZZK umezungumzwa muda mrefu na viongozi walikuwa wakiufumbia macho. Hili halitakubalika. Anayemtaka ZZK amfuate huko huko ama aanzishe chama chake.
Uvivu wa kufikiri na kufanya kazi. Sasa ujumbe wa T-SHIRT aliyovaa mtu unakukera nini. Nawe tengeneza ya kwako. Mbona kuna watu wanavaa T-Shirt za changua Kikwete, Chagua CCM mbona hujawahi kusema hawa wamekosea. Kwani sasa hivi ni wakati wa uchanguzi? Hawajui kuwa CCM na rais Kikwete ndo...
Hii imekaa vizuri...,maana mtu anaamua kuingiza kinyongo chake cha siku nyingi katika tuhuma tofauti. Ni muhimu kuwa na watu kama kina Gwajima na Mtikila ili kuweka sawa mambo taifa ama kiongozi anapokwenda mrama.
Kutoka chuo kikuu cha SAUT Mwanza, wanafunzi wa shahada ya uzamili katika biashara MBA, walikuwa na mtihani ghafla akaingia kijana wa wa Kisomali, watu wote mbio kila mtu akipitia upenyo ajuao yeye.
Purukushani kwa kwenda mbele, Mhadhili mbio, wanafunzi mbio.Kumbe yule kijana ni mwanafunzi pia...
Kuna machapisho mazuri na yaliyoenda shule mengi tu ambayo yameandikwa na watanzania, tena yapo katika majarida/jounal kubwa duniani. Tatizo watanzania wengi tu wavivu wa kusoma. Na pia hakuna pesa ya kutosha kufanya uwasilishaji wa yaliyoandikwa kwa jamii husika.
Imekuwa bora ZZK kuondoka CDM maana taarifa za uhakika zipo bayana kwa jinsi gani alivyokuwa akisaliti harakati za chama. Ukiona mtu anamfuata ujue hamjui ZZK ni mtu wa aina gani.
Fr. Mapunda, namfahamu vizuri, ni-mtu anayeamini katika kweli na huwa haogopi kusimamia haki na ukweli. Alikuwa hapa Mwanza miaka ya 1996-2002. Nilikuwa sikosi kanisani kusikiliza mahubiri yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.