Duuuh kudadeki kumbe eeee ndioo maana nyie watu wa kanda ya Ziwa akili zenu na Matendo yenu zinaendana na wale Jamaa... Leo sasa ndioo nimejua kama mnaoleana na mnaishi nao na wanaoa kwenu tokea enzi za ukoloni kumbe nyie wakiii......! Samahani ila nawapenda lazima nifunge safari toka Dar...
Mkuu yule kwao usukumani kazi anazozifanya zinafanya na mtu ambae anaumwa siku hiyo asiende shamba maana kwao wanafanya kazi ngumu hatari... So kuhusu hilo mkuu usiwaze kabisa alafu kwa WASUKUMA wanaamini mtu usipofanya kazi unachoka haraka kimwili ndio maana unaweza kuta mzee wa kisukuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.