Search results

  1. A

    TLS vipi hili la aliyeunguzwa na Mumewe mbona kimya au sio mnyonge huyu?

    Kuwa muda sasa kuna mama aliunguzwa na mumewe, shukrani kwa Rais Magufuli kwa msaada aliyempatia hadi ametoka, Ila TLS chama ambacho mnajinadi kwamba mnatetea wanyonge mmekaa kimya leo Rais anapigizana kelele na polisi kutafuta cheap popularity while kuna issues za kufanyia kazi....
  2. A

    *TATIZO LA MFUMO AU MFUMO TATA?*

    *TATIZO LA MFUMO AU MFUMO TATA?* WATU flani wakati tunaelekea kwenye uchaguzi wa 2015 na hata baada ya uchaguzi walikuwa wanasema Magufuli yuko vizuri lakini tatizo lililopo ni MFUMO. Wakasema JPM ndie kiongozi sahihi wa Tanzania kwa wakati huu lakini tatizo anatoka CCM. Wengine wakasema ana...
  3. A

    Rais Magufuli amfagilia Nape akiwa ziarani Lindi

    Akiwa eneo la Nangurukuru mkoani Lindia mwanzoni tu mwa ziara yake ya siku 4 katika mikoa ya Lindi na Mtwara, Rais Magufuli hakusita kuonesha kuridhishwa kwake na utendaji kazi wa Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye. #Magufuli: Tunataka wabunge hasa wanaCCM safi na...
  4. A

    Serikali kwa udhaifu wenu huu kila siku Tundu Lissu atawatoeni knock out Mahakamani

    Wakati watu wako busy kuleta maendeleo nyie mko busy kushinda mahakamani na kuhesabu kesi za lissu, kweli kuongozwa na watu wa namna hii kazi yao kishinda mahakamani ni tabu ndio maana wataalam wa mambo wanasema itawachukua tena miaka kwa upinzani kufikiriwa kuchukua dola...NOTE sio kuchukua...
  5. A

    Hizi hapa post za 2014 za wanaJamiiForums kuhusu Dawa za Kulevya

    Tutayapima matokeo mwisho wa siku....
  6. A

    Hizi hapa post za 2014 za wanaJamiiForums kuhusu Dawa za Kulevya

    Tukicount wapinzani wangapi wametuhumiwa...na CCM wanagapi wametuhumiwa....kama hata hesabu ndogo hujui huku unafanya nini......eti home of great thinkers....kwa mawazo haya jitoe humu..
  7. A

    Hizi hapa post za 2014 za wanaJamiiForums kuhusu Dawa za Kulevya

    Kwahy mtandao wa kenya ukiwataja basi huku tukamate...how sure huo mtandao upo reliable...
  8. A

    Hizi hapa post za 2014 za wanaJamiiForums kuhusu Dawa za Kulevya

    Tatizo wabongo akili sijui mmeweka wapi....mliambiwa bado vita inaendelea na mmeambiwa hii ni sehemu ya pili simsubiri ngoma ikamilike ndipo tuanze kuhoji....wapo wengi na still chain ni ndefu na kwa jitihada hizi i believe kila mtu atafikiwa....TUTULIE SINDANO IINGIE..
  9. A

    Hizi hapa post za 2014 za wanaJamiiForums kuhusu Dawa za Kulevya

    Hapa ndipo utagundua wana jf ni watu wa aina gani...nawashangaa sasa mnapiga kelele juu ya hii vita ya madawa ya kulevya. Bofyalink hii: Hii ya Juma Pinto Inatisha
  10. A

    Bunge linalinda maslahi ya nani kwenye sakata hili la dawa za kulevya?

    Sijawahi kuona Bunge lenye wabunge wa ajabu Kama hili letu Tanzania, kwanamna hii tusitegemee maendeleo. Mwaka 2014 wabunge hawahawa waliwaita majaji wa Tanzania vilaza wakati wakijua ni muhimiri mwingine lkn majaji hawakuwaita kuwahoji mahakamani Wabunge hawahawa ndo juzi wakamtuhumu Mh...
  11. A

    CHADEMA yatoa tamko baada ya Mbowe kutajwa katika listi ya Makonda

    Tujikumbushe tu.....hebu tuangalie hii list....alitajwa hadi rais kwenye tuhuma, ila wao walikuwa sawa....katajwa Mbowe imekuwa issue.... Jamani watu mlitaka mapapa hebu tutulie tuacheni kutokwa mapovu.. Mlitaka sindano inadawa sasa...hebu vumilieni maumivu
  12. A

    Serikali imeanza kupokea maoni kwa ajili ya uundwaji wa kanuni za sheria huduma za habari

    Mmmh Tanzania kazi ipo....vilaza wa mwenddokasi katika ubora wenu...mnakurupuka kuhoji while hamjui mnahoji nini...ndugu zenu wavaa kaki [emoji111]️[emoji111]️wataendelea kuwaburuza mpaka mshike adabu....
  13. A

    Serikali imeanza kupokea maoni kwa ajili ya uundwaji wa kanuni za sheria huduma za habari

    Labda atakuelewa...asipokuelewa tena tumfunge mota kichwani
  14. A

    Serikali imeanza kupokea maoni kwa ajili ya uundwaji wa kanuni za sheria huduma za habari

    Umbo mbali na media waliombwa maoni na walitoa ndio sababu ya ujio wa sheria hii...kiruu
  15. A

    Serikali imeanza kupokea maoni kwa ajili ya uundwaji wa kanuni za sheria huduma za habari

    Mzee mbon mgumu kuelewa....mbon upo kwenye kiwango kikubwa cha ujinga labda niandike kwa herufi kubwa uelewe... SHERIA HAIPITISHWI NA KANUNI, BAADA YA SHERIA KUPITA NDIO WADAU WANAITWA SASA KUTOA MAONI ILI KUTUNGA KANUNI ZA KUONGOZA SHERIA ILIYOPITISHWA...NA SIO KWAMBA SHERIA INA KASORO NDIO...
  16. A

    Serikali imeanza kupokea maoni kwa ajili ya uundwaji wa kanuni za sheria huduma za habari

    We naeeee...hebu jaribu kifikiri kabla ya kukurupuka kuandika ujinga....sheria inapitishwa halafu baadae wadau wanakutana kuunda kanuni ili ziendane na sheria iliyopo....msyuuuuu....we lazima utakuwa rangi ya kaki......
  17. A

    Serikali imeanza kupokea maoni kwa ajili ya uundwaji wa kanuni za sheria huduma za habari

    Mzee acha kujiabisha...sheria ilipotishwa bila kanuni....now ndo muda wa kuunda kanuni ili iendane na sheria iliyopitishwa na sio kurudishwa tena bungeni.....hii jamii forum imebeba watu wa hovyo....hapa ndipo utajua wafuata upepo na wenye IQ zao...kama hujui kanuni zinaundwa baada ya sheria...
Back
Top Bottom