kuna wanafunz wengine wa elimu ya juu n wanafaika wa mikopo na walipostpone mwaka na taarifa ambayo tunapata et kwamba kwa huu mwaka ambao tumerud chuo hatuwwez kupewa mkopo naomba wahusika watuangalie katka hlo lina ukweli au#loanboard
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.