Kiukweli watu wengi wametokea kuyapenda mavazi ya CDM na hata kuyanunua kwa gharama yoyote, ila upatikanaji wake ndio shida.Ushauri wangu kwa Makamanda ni kuyasambaza hayo mavazi (hata skafu) kwenye kila Wilaya na hata kwenye Kata ili upatikanaji wake uwe rahisi,hii pamoja na mambo mengine...
Ndugu yangu HAKI HAIOMBWI hata siku moja bali INAPIGANIWA.....madaktari wanadai stahili zao unasema waache u-wanaharakati! napata shida na uelewa wako...Unataka nani sasa awapiganie madaktari kudai HAKI zao kama sio wao wenyewe....kama mwenyewe haujitamini unadhani nani atakuthamini? mimi...
Wana jf,sio kwamba posho hazitoshi kwa hawa "waishiwa" wetu tatizo ni mikopo waliyokopa ndiyo inawasumbua! unakuta mbunge kakopa 100M so unadhan anakatwa kiasi gani kwa mwezi na yy atabaki na kiasi gan..ndio maana wanasema posho hazitoshi
Kati ya nafasi ambazo katiba mpya inatakiwa kuziondoa ni UKUU WA WILAYA kwan hawana kazi yoyote zaidi ya kugombana na Wakurugenzi wa Wilaya ambao ndio watendaji na watekelezaji wa shughuli zote za serikal..
Moja ya viongozi ninaochukia kutokana na kauli zao ni huyo Mrombo! sikuamini masikio yangu wakati akiliambia bunge kipindi akiwa waziri wa fedha eti ni bora wananchi wale nyasi illi radar inunuliwe,nakumbuka wakati anatoa hayo maamuzi bungeni kulikuwa na vuguvugu la maandamano ya wanafunzi pale...
unanisikitisha ndugu yangu! Ina maana hujui bidhaa yoyote mtanzania anayonunua anailipia kodi?au wewe wajua wanaolipa kodi ni wafanyakazi tu wanaokatwa moja kwa moja (direct tax) kwenye mishahara yao....
Mi nadhan rais wetu hajui majukumu yake...hayupo serious kabisa na matatizo ya Watanzania,rais wa nchi unaweza sema Serikali haiwezi kuleta mvua kama ingeweza basi mabwawa yote yangejaa maji? Poleni sana waandishi wa habari coz mnakutana na mengi,cdhan kama mwandishi wa habari alitegemea kupata...
Thanks bra! but it discourages 2 call more than 4000 people 2 compete 4 only 100 positions! ila mckate tamaa mlioitwa kwny usaili coz huwez jua unaweza ukawa kijukuu ukalamba dume...
Kaka dont expect 2 get much while u have nothing!wanachuo wengi wanapokua vyuoni huwa na matarajio makubwa tofauti na hali halisi ilivyo mtaani...nakushauri tafuta kazi kwanza ukishapata ndio uangalie sehemu nyingine how they pay otherwise unapotafuta kazi ya mshahara wa 2.5m per month while c.v...
Halafu ndio wa kwanza kulilia posho na safari!kulikua na haja gani ya kuomngozana nae wakati analala kwny mkutano...huo ni ufisadi ambao CDM wanaoupinga...kwani hapoamelipiwa tiketi ya ndege first class ana perdiem zaid ya 500$...hadi hawa jamaa waondoke 2mekwisha kabisa..
Kwa ufahamu wangu kuna aina mbili za kustaafu,Mosi ni kule kustaafu kwa kawaida baada ya kufikisha umri (kipindi) flan katika utumishi.Pili ni kustaafu kabla ya mda (kipindi/umri) uliowekwa,aina hii mara nyingi huwa baada ya mhusika kushindwa kutekeleza majukumu yake huwa wanasema amestaafu...
Mi nadhan Dr.Magufuli sio wa kulaumiwa yeye anatekeleza sheria zilizopitishwa na bunge hilohilo ambalo waziri Mkuu ni msemaji wa serikali,sasa kama sheria inasema ifadhi ya barabara (kuu) ni mita kadhaa,mfano mita 90 ina maana wote waliojenga ndani ya hizo mita 90 ni wavamizi na wamekiuka sheria...
kikubwa anafanya kazi za watu?ila sometime mtu anayeenda kupata huduma ofisi yoyote akiona mazingira mazuri ya ofisi anakua na imani na huduma atakayopata.so Sugu weka ofic fresh mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.