hayo mambo ndio yaliyomkuta jamaa mmoja enzi ya UDA kupata mfadhaiko kaacha kushika bomba katoa nanihii yake na kuibandika kwenye makalio ya bint wa kimanga koko na kuchavua baibui, binti hakuvumilia hadi polisi - yakamkuta makuu. public transport zina madhara ila basi tu.
Akili ni nywele kila mtu ana zake, kuhusu yeye kutokuwa na uadirifu/kipaji/elimu ya uongozi ktk serikali yake usilaumu Kabila lake - yy ni kama yy na udhaifu wake wa kuongoza tusiharibu mada, maana ndani ya serikali kuna makabila mchanganyiko kama yeye anaharibu kwa nini wengine wasijiuzulu...
Sasa kama ni kampuni inayomilikiwa na Jk, wewe kilichokusibu hata hii topic uilete jamvini ni nini? RIJK ni watu sawa na wengine k.v. Bakheresa, Manji, Mengi n.k. kumiliki kitu kama hicho kisiwe ajabu kwao.
Kama walivyosema hao waliotangulia. Inategemea mmeachanaje, huenda mmoja wao kakutana na Pelejee pita njia/sugar mmumy kamwezesha basi siri ikivuja, mnaweza kuachana shingo upande. Hapo ndipo mtakapokuwa mnaendeleza mawasiliano ya kupigiana simu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.