Naomba kujuzwa utaratibu wa kupitisha maombi Ofisi ya Waziri Mkuu(wenye ulemavu)
Nasikia utawala wa awamu hii kuna utaratibu huo ili kuwezesha wenye auemavu kupata ajira serikalini
Nilitaka kuapply chuo fulani, nikaanza kujisajili sasa nikapata changamoto siku 4 nikashindwa kulipa application fee.
Je, itakuwaje ?
Siwezi apply tena ? Hata chuo kingine?
Habarini,
Nina Diploma ina Law nahitaji kusoma kozi za degree tofauti na Law
Kipaumbele changu ni kusoma masuala ya serikali za mitaa, maendeleo ya jamii na mipango miji
Vyuo km vile Cha Serikali za mitaa na kile cha Mipango Dodoma
Maswali
a) Nikiomba inakubali?
Nina GPA 3.1
Hapa Tanzania kuna sehemu ukienda na ukapewa historia zake unaweza kubaki mdomo wazi, kwa kuwa ukiangalia mji huo kama hauendani na hiyo historia. Lakini kimsingi kuna miji hapa Tanzania kwa kweli imebarikiwa kuwa na historia ya kusisimua. Moja ya mji huo ni Tukuyu.
Tukuyu ni moja ya mji...
Heshima kwenu waungwana,
Natumia umeme wa solar una betri la 12V 33Ah nimefunga pamoja na controller na panel ya Watt 40
Taa zinawaka bila shida
Kuchaji simu chaja naweka direct kwenye betri sasa kuna tatizo tangu juzi nikiweka tu simu inagoma na simu kuandika CHARGER IS OVERVOLTAGE PLEASE...
Heshima kwenu wakuu !
Nipo kijiji fulani nyanda za juu kusini...natumia solar tangu Jan
Nilinunua betri mpya ya Sundar yenye ukubwa wa 12V 18 AH/ 20HRS na Panel ya Watt 20 nikawa natumia taa 1 na kuchaji simu pekee
Mwezi wa 4 nikaongezea taa 4 (za Watt 3 mbili na Watt 2 mbili)
Mwanzoni mwa...
Waungwana
Mimi ni mtu wa mkoani ndanindani kabisa huko
Sasa wiki hii nilipta nafasi ya kuja Dar nikaona ndio fursa ya kukamilisha kusajili namba zangu zote kwa mfumo wa wa alama za vidole
Nikaenda odisi ya Voda nikasajiliwa bila usumbufu, nikaenda ofisi ya halotel nikaambiwa njoo kesho, nikaenda...
Waungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.