Naomba kujuzwa utaratibu wa kupitisha maombi Ofisi ya Waziri Mkuu(wenye ulemavu)
Nasikia utawala wa awamu hii kuna utaratibu huo ili kuwezesha wenye auemavu kupata ajira serikalini
Nilitaka kuapply chuo fulani, nikaanza kujisajili sasa nikapata changamoto siku 4 nikashindwa kulipa application fee
Je , itakuwaje ?
Siwezi apply tena ? Hata chuo kingine ?
Nishafanya hivyo ila kuna changamoto imenitokea
Nilitaka kuapply chuo fulani, nikaanza kujisajili sasa nikapata changamoto siku 4 nikashindwa kulipa application fee
Je , itakuwaje ?
Siwezi apply tena ? Hata chuo kingine ?
Nilitaka kuapply chuo fulani, nikaanza kujisajili sasa nikapata changamoto siku 4 nikashindwa kulipa application fee.
Je, itakuwaje ?
Siwezi apply tena ? Hata chuo kingine?
Nilitaka kuapply chuo fulani, nikaanza kujisajili sasa nikapata changamoto siku 4 nikashindwa kulipa application fee
Je , itakuwaje ?
Siwezi apply tena ? Hata chuo kingine ?
Habarini,
Nina Diploma ina Law nahitaji kusoma kozi za degree tofauti na Law
Kipaumbele changu ni kusoma masuala ya serikali za mitaa, maendeleo ya jamii na mipango miji
Vyuo km vile Cha Serikali za mitaa na kile cha Mipango Dodoma
Maswali
a) Nikiomba inakubali?
Nina GPA 3.1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.