Nadhani katika awamu hii ya tano wahadhiri wa chuo kikuu cha DAR ES SALAAM watampongeza sana rais wetu kwa namna alivyoinesha imani kwao na kuwapa nyazifa mbalimbali za kulitumikia taifa. Licha ya kuwa imekuwa neema kubwa kwao lakini Dr. Benson bana hajabahatika katika teuzi hizi. ni wakati...
Kanisa katoliki ndilo lililoongeza hivyo vitabu kwenye biblia hapo awali yalikuwa ni mafunndisho tu ya wayahudi lakini wakatoriki waliona yanafaa kufundishia wakayaingiza kwenye orodha ya vitabu vya biblia. Na mpaka leo maaskofu wa kikatoriki wanakiri kwamba tofauti iliyopo ni kuwa hayo...
Kwa wale wadau wa hapa mjini mnadhani mmejionea tabia ya watu kununua matrekta na kuyatumia kusafirisha makontena.
Kama mtumiaji wa barabara nadhani ushakutana na kero hii maana kwanza yana spidi ndogo. Pili hayapo maalumu kwa kazi hiyo na zaidi sana matrekta haya serikali imeyapunguzia kodi...
Mhubiri mmoja wa Kiislamu ambaye ni mpenzi wa jinsia moja nchini Iran amelazimika kutorokea nchini Uturuki kufuatia tishio kwa maisha yake.
Taha ni mhubiri wa dini ya kiislamu.
Aliyetorokea nchi jirani ya Uturuki akihofia maisha yake katika jamhuri ya kiislamu ya Iran.
'Sheikh'' Taha alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.