Habari wadau hivi inakuaje kila ukibadilisha simu what's app inaanza upya yani kama vile hukuwa na account inatoa magroup yote na kila kitu, yani ni kama unanza moja
Ngoma imevuma imepasuka watu hawajui kukaa na vitu kimya kimya unakuta mtu anapost siri zote bila kujua kuwa wahusika wanaona na waziba mirija mi binafsi tokea 2014 hadi leo natumia ila hukuti watu wanaongea ovyo ovyo...sasa wameshablock ukipata njia itumie kimya kimya ukiweka public kufungwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.